SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
- Thread starter
-
- #81
Okay nikikupa sanduku la posta itakusaidia?
kwani mlikuwa mnaongeaje?
Ina maana bado hujaelewa KWELI KAZI NINAYO sijui nitumie njia gani?
HALITANISAIDIA KABISA Naomba Unipe Namba Yake Ya Simu Au Jina La Akaunti Yake Ya Facebook Au Wattsapu Ili niweze kumwona kwa sura.
Mambo mengine ni siri mkuu
Anatafuta ugomvii tu
Lakini mkuu si ulishaambiwa huyu ni mke wa mtu na ulionya kabisa? Haya wee
Barua ya mapenzi hiyo, haya kila la kheri
Kwan wewe mgeni hili jukwaa
Unauliza makofi kituo cha polis
KWA MICHANGO YAKE au kwa comment zake na si kingine.
Hukujui PM????????
sijakuuliza maongezi yenu mlikuwa mnazungumzia nn, namaanisha ni njia gani ya mawasiliano mlikuwa mnatumia ama ni mwendo wa pm?
Huwa unapenda avatar? user name yake? michango au nini?
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na sasa hivi nimekuwa kero kwako hutaki kabisa kuongea na mimi.Mrembo--------ina maana wewe unachukia kupendwa? Kwa nini unanifanyia hivi? mbona unanifanyia mbona mwanzoni tulikuwa tunazungumza vizuri tu kwa kipindi hiki unanifanyia hivi sio vizuri hivyo mimi nakupenda ,nakufuatilia ,nakufikiria lakini nakushangaa mwenzangu kama vile huna mpango na mimi kuwa na huruma basi nifikiriefikirie basi ewe mrembo----- kama mimi navyo kufikiria hakika mimi nakupenda naomba na wewe unipende kama kunasehemu nilikuuzi nisamehe kwa kweli ------ nakupenda sana.Nimesita hata kukutaja nisije nikazidi kukuuzi zaidi ukani report abuse nikapigwa banned .LAKINI NAAMINI UJUMBE WANGU UTAKUWA UMEUPATA .naomba tusameheane na tuuboreshe uhusiano wetu.Nakutakia jioni njema-------
Kwa aina hii ya uandishi wala hutampata huyo mwanamke/binti! Matatizo kibao, uwe unaacha nafasi kilka unapoanza sentensi mpya (baada ya nukta), yaani hadi napata makengeza! Na ni haki PM zako hazikumvutia, lol! Sijui ni King'asti, Evelyn Salt, Smile, mwallu?