Hongera.!! kwa kuligundua hiloHabarini humu ndani;
Ni mgeni humu lakin nilikuwa napitia majukwaa mbalimbali kabla ya kujiregista rasmi,nimegundua kuwa JF ni nzuri kwa kuongeza maarifa katika nyanja mbalimbali.Hakika naamini nimefanya chaguzi sahihi.Hongereni wote mlioanzisha JF.Naomba mnipokee,Nawasilisha kwa member wote;

naweza kuwa mkubwa kwako,!itakuwaje hapo?Salimia wakubwa zako kijana.
wa kina nani tena baba swalehe? fungukahumu kuna kila kitu hata ukitaka ...... wapooo
duuu,,,wakubwa wanafaidi sanaNdio ni mimi Evelyn Salt
hapana kiongozi mimi si dentiWe kama denti kuwa makini Humu Bakora Hazijapigwa marufuku!
upi tena?Umasikini unakunyatia hapo!
Usijali nawe ukikua utafaididuuu,,,wakubwa wanafaidi sana
Ila ntakuwa nimeshakuchelewaUsijali nawe ukikua utafaidi
nitazingati,asanteWewe ipende tu jf mwenzako aliipenda juzi kama analialia apa, kuwa makini
We kijana wa Mwinyi wewe... Salimia dogonaweza kuwa mkubwa kwako,!itakuwaje hapo?
Mimi sijiuziNdio najiuza we umeacha kujiuza?