Erickford4
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,133
- 1,094
hahahaMambo ya Bwakila hayo
hahahaMambo ya Bwakila hayo
Nilihisi kitu kama hiki. Na bila shaka utakuwa ni mwanafunzi wa Sekondarimwanafunzi
Eee! si jana ulinionyesha madaftari yako mmemaliza ile topic ya A E I O U!Nilihisi kitu kama hiki. Na bila shaka utakuwa ni mwanafunzi wa Sekondari
RuksaNami naruhusiwa kwenda huko kuchukua kinywaji?
Samahani naomba nikuulize swali??Karibu sana, single double?
If not double pitiliza love connect uchukue Fanta ya baridi
Eve, single bado zipo siku izi?? Maana kila napoenda ni mwendo wa double tu, tena wanataka elfu 8 mapema kabisaVinywaji unachukua mwenyewe usiogope
Yes, nakusikilizaSamahani naomba nikuulize swali??
Mmmh unajiuza au?Karibu sana, single double?
If not double pitiliza love connect uchukue Fanta ya baridi
Huyo kwenye avatar ni wewe???Yes, nakusikiliza
Karibu sana.Habarini humu ndani;
Ni mgeni humu lakin nilikuwa napitia majukwaa mbalimbali kabla ya kujiregista rasmi,nimegundua kuwa JF ni nzuri kwa kuongeza maarifa katika nyanja mbalimbali.Hakika naamini nimefanya chaguzi sahihi.Hongereni wote mlioanzisha JF.Naomba mnipokee,Nawasilisha kwa member wote;
Ndio najiuza we umeacha kujiuza?Mmmh unajiuza au?
Ndio ni mimi Evelyn SaltHuyo kwenye avatar ni wewe???
TayariKaribu sana ila jiandae kisakolojia kuwa tayali kwa lolote lile kusifiwa kukosolewa kukataliwa ukweli unaoujua