Nimetoka kusikiliza wimbo wa Ney ''Shika Adabu Yako'' Magic FM muda huu, Umefunguliwa?

UngaUnga

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
1,724
1,461
ama kweli basata ni kuku au bata? msumeno usiokata! si mlisema mmefungia hii nyimbo?! studion yuko dj tass.
 
BASATA na TCRA nani anahusika na kuzuia nyimbo kupigwa Redioni ama TV?
 
Ni ujinga kufungia nyimbo tamu kama ile,ila unaiacha Asanteni kwa kuja ya - Mwana FA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom