Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,013
- 1,634
Leo nimetoa pesa kwa wakala, kwenye simu nilikua na 50000.
Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka kwenye makato nikakatwa 410 Sasa nilikua nataka kujua hizi ni aina gani ya laini na utaratibu wa kuzipata ukoje ni namba ya Tigo Pesa
Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka kwenye makato nikakatwa 410 Sasa nilikua nataka kujua hizi ni aina gani ya laini na utaratibu wa kuzipata ukoje ni namba ya Tigo Pesa