Nimetoa pesa kwa makato kidogo

Mkulima na Mfugaji

JF-Expert Member
Jul 26, 2013
1,013
1,634
Leo nimetoa pesa kwa wakala, kwenye simu nilikua na 50000.

Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka kwenye makato nikakatwa 410 Sasa nilikua nataka kujua hizi ni aina gani ya laini na utaratibu wa kuzipata ukoje ni namba ya Tigo Pesa
 
Leo nimetoa pesa kwa wakala, kwenye simu nilikua na 50000.

Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka kwenye makato nikakatwa 410 Sasa nilikua nataka kujua hizi ni aina gani ya laini na utaratibu wa kuzipata ukoje ni namba ya Tigo Pesa
umekatwa 400 yeye akakupa bei gani?
 
Leo nimetoa pesa kwa wakala, kwenye simu nilikua na 50000.

Wakala akanambia tumia njia ya kawaida Kama unatuma pesa akanipa namba ya kawaida, kwenye kiasa akanambia weka 49550 kweli nikaweka kwenye makato nikakatwa 410 Sasa nilikua nataka kujua hizi ni aina gani ya laini na utaratibu wa kuzipata ukoje ni namba ya Tigo Pesa
Upo sehemu gan????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom