Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
- Thread starter
- #121
Mkuuu si ndio mmebaki kwenye hiyo aslimia 40
Itakua mmevusha kwa mishe za kibiashara,hii inakua ngumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakua mmevusha kwa mishe za kibiashara,hii inakua ngumu sana
Mkuu mbona wengine tumevusha seva lakini fainali haichezwi? Tupe mbinu za kiintelijensia...
Sent using Jamii Forums mobile app

