Don't take life too serious, you won't make it alive.Kwa binti anaye comment kwa kushangilia au kusupport nyuzi Kama hii,hata siwezi jihangaisha kumtokea kwa sababu anaonesha wazi ni Mwanamke asiyefaa kama Mke makini anayejitambua.
kwa watu kama mimi huwa ni waoaji na sio wapitaji basi nikiona binti anasupport hapa ni kama ameshaji punguzia credi ya kuwa Mke,na siwezi mtokea kamwe.
Don't take life too serious, you won't make it alive.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haki ninyi akili zenu zinawatosha wenyewe, naona atakuwa kashazinduka.
[emoji2296][emoji2296] mwee hata sijui alichomaanisha hazard hapa labda tumuulize mwenyewe, mie najua ni kutoa ubwabwa badala ya wali.Hivi kutoa boko ndio nini?
[emoji41][emoji41] nani anakuficha ??Rule number one, never kiss and tell
Rule number two, refer to rule number one
Uuunh...[emoji41][emoji41] nani anakuficha ??
Halafu hizi tabia za ajabu huyu pampula kazianza lini? Au ndio anakua kurudi nyuma?[emoji2296][emoji2296] mwee hata sijui alichomaanisha hazard hapa labda tumuulize mwenyewe, mie najua ni kutoa ubwabwa badala ya wali.
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296] mwee we kila siku hukosi visingizio jamaniUuunh...
Nipo kwenye bunker with limited internet access, si unajua vile dunia inapitia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madai yake eti anachangamsha genge tu, mi nahisi hukuwahi mchapa mwanao.Halafu hizi tabia za ajabu huyu pampula kazianza lini? Au ndio anakua kurudi nyuma?
Hawa watoto wa uzeeni taabu tupu, hawakuwagi wazima.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] madai yake eti anachangamsha genge tu, mi nahisi hukuwahi mchapa mwanao.
Teh teh. Sema haka kahuni tu.Hawa watoto wa uzeeni taabu tupu, hawakuwagi wazima.
Ndio maana tunakatazwa kuzaa uzeeni, ona sasa hili balaa[emoji134][emoji134]Teh teh. Sema haka kahuni tu.
Kwani mkwe we bado una mpango wa kufyatua?Ndio maana tunakatazwa kuzaa uzeeni, ona sasa hili balaa[emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we hata ukizeeka zaa tu mama wala usiogope, siyo watoto wote wa uzeeni wako hivyo.Ndio maana tunakatazwa kuzaa uzeeni, ona sasa hili balaa[emoji134][emoji134]
Nitafyatua hadi vya kufyatua viishe.Kwani mkwe we bado una mpango wa kufyatua?