Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Nikimbiwe kwaajili ya picha ya arusi?? U can't be siriaz....wakati sie wake za watu ndo tunapendwa lol
Weke wa watu wanatisha sasa hivi waume watu ndo wanaopendwa
Nikimbiwe kwaajili ya picha ya arusi?? U can't be siriaz....wakati sie wake za watu ndo tunapendwa lol
Weke wa watu wanatisha sasa hivi waume watu ndo wanaopendwa
Na huo ugold member unakuaje mkuu?Kassid mtunzi unataka ujanja wa kupata ban au marafiki...??? ikiwa marafiki angaalia juu Viol ameshaweka hapo taratibu za kupata marafiki...
Hata wake za watu tunapendwa
Nipeni hongera huu mwaka wa 5 JF na sijawahi kupewa warning au ban.
pacha we sikuonagi jukwaa la siasa
ID ipi hiyo.
lol kwanza we humu ni top 5 wa ban
ndiyo,kutusi ni tabia nzuri?
Nipeni hongera huu mwaka wa 5 JF na sijawahi kupewa warning au ban.
Mmmh wengine wanapata bahati mbaya
Sina nyingine
ngoja nitaanzisha top 30 wa kupigwa ban humu
niachie mm nianzishe hayo mashindano hayo waonaje hilo bestito?
halafu mbona sijakuona kule mm kwenye shindano la kumsaka mwenye sura yenye mvuto na mwenye sura mbaya hebu nenda kapige kura yako kule kwani tunataka kumweka mshindi hapo kesho
Nipeni hongera huu mwaka wa 5 JF na sijawahi kupewa warning au ban.