Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
mkuu wala hata siyo kuomba,mnazoea tu kwenye comments,baadaye pm,kupeana namba ndo tayari urafiki huo.
ila jihadhari na marafiki wa humu pia hizi id fake noma
Ahaa kwenye ku comments anae ku quote unamlukia pm au?
Maana kama ww mwisho nilikuona jukwaa la liver ndo leo tena
Hembo niongeze kidogo au kama haipendezi waeza tupa pm huo ujanja