SAYANSIKIMU
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 1,132
- 260
Haya maisha ya ajabu kitufulani kizuri ukiwa hauna unakitamania lakini ukikipata hicho unakiona cha kawaida .Kipindi kilichopita nilidhani nikifika kiwango fulani cha maisha ni ta enjoy sana lakini cha ajabu nimeshafikia kiwango hicho naona kawaida tu.
Mimi nadhani kiwango cha kufurahia maisha kwa wanadamu kipo sawa na wanao enjoy maisha ni watu wa hali ya wastani lakini WATU MATAJIRI SANA AU MASKINI SANA kiwango cha furaha kwao ni kidogo.Ukitaka ku enjoy maisha kuwa na maisha ya wastani usiwe tajiri sana au maskini .
Asikwambie mtu maisha ya wastani yana raha nyingi kushinda ya utajiri.IMETHIBITISHWA NA WATAALAMU.
Mimi nadhani kiwango cha kufurahia maisha kwa wanadamu kipo sawa na wanao enjoy maisha ni watu wa hali ya wastani lakini WATU MATAJIRI SANA AU MASKINI SANA kiwango cha furaha kwao ni kidogo.Ukitaka ku enjoy maisha kuwa na maisha ya wastani usiwe tajiri sana au maskini .
Asikwambie mtu maisha ya wastani yana raha nyingi kushinda ya utajiri.IMETHIBITISHWA NA WATAALAMU.