Jack Daniel's
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 1,008
- 840
- Thread starter
- #61
Namshukuru Mungu sikusomea ualimu ningepoteza ada bure.
Poleni sana waalimu..
Hapana, mi sio mwalimu, lakini pia siwezi kudharau au kukejeli kazi za watu wengine.
Namshukuru Mungu sikusomea ualimu ningepoteza ada bure.
Poleni sana waalimu..
Hapana, mi sio mwalimu, lakini pia siwezi kudharau au kukejeli kazi za watu wengine.
Hahahahaaa hujamsoma jamaa anamaanisha kama wewe ndio mume unafanyiwa hivyo ungejisikiaje?.....akamalizia.....what goes around comes around
Utenzi wako hukuutoa kwa namna ya kuomba ushauri....nadhani ulituwekea tu kututaarifu...labda nikushauri uweke majina ya mama, mwanaye na huyo unayemwita mchumba wako ili tufanye comparison!
Yaani kuna nyingine hazijanyolewa miaka miwili mizima ila jamaa anatuingiza kingi hivihivi, dah!
unanyegesha tu watu na hilo ndo lengo
lako
Usisahau tu kuchimba kaburi lako likawa standby
sasa ushauri wa nini wakati unajua wanawake hawatabiriki?Nampenda ila yupo mbali, na mda mwingine nazidiwa kama mwanaume, hata hivyo sitaki ajue kwa sababu mahusiano yangu na mpenz wangu bado ni changa, Nipo hapa na 'binti mkubwa' kwa sabab chochote kikitokea nina pa kutulia, siunajua nyie wanawake hamtabiriki, naelewa ninachokitaka labda mimi bado sijaamua tu kuoa kwa sababu uchunguzi wangu haujakamilika, sijajiridhisha bado yupi anaweza kuwa mke mwema.
Bado hujapenda, Mwili wako bado unawaka tamaa, Angalia unachopenda! Cheap is Expensive!
Ukiona upo ktk uhusiano, na bado unatengeneza uhusiano na mwanamke mwingine mpaka unamlinganisha na Mtu wako wa muda mrefu, basi hukumpenda, tulia ukipenda hutahitaji ushauri, utaleta kadi
Ndo hivyo sasa jipange aisee; mtaka nyingi nasaba hupata mingi misibaDahh mbona unanimaliza mkuu?
Aisee una kichwa kizito duh!
Haya endelea kumega ikifika zamu yako uje kutusimulia.
Foolish age!
sasa ushauri wa nini wakati unajua wanawake hawatabiriki?
Kuna vitu vingine haviitaji kuomba ushauri umemtia binti Wa watu dhambi bure ya kushare na mama Yake bwana unaitaji kutubu Kwa kuifanyia mambo ya laana familia ya mwanaume mwenzio na kumdharau mwanaume mwenzio na utapata tabu sana kwenye mahusiano yako na Mungu akualaani na shetani akuongoze