Kuna mdau alinunua nyumba kila kitu fine na alifata procedures zote, matokeo yate wamekuja wanaukoo / ndugu na kudai hawakushilikishwa kwenye hayo mauzo. Huu ni mwaka wa tano Kesi zinapigwa danadana..., ingawa huenda mwisho wa siku atashinda Kesi ila usumbufu na muda aliopoteza anajuta.
Ukishajua umetapeliwa unatakiwa utulie ujifunze kutokana na kosa wala usijisumbue kuwatafuta matapeli ksbu utaishia kutumia hela nyingi zaidi kuhonga polisi na mahakamani alafu utashindwa kwa aibu. Kabla ujalipa kiasi kikubwa kama hicho ulitakiwa kuwa umefanya homework yako, ina maana ungekua unanunua iyo nyumba ungebeba bulungutu la hela upeleke Makongo!
kwani wakati unatoa pesa,hakuna documents zozote mlizoandikishiana?
ni shiddddah!
Ila transaction za siku hizi unatakiwa kumuwekea mtu hela kwenye account aisee. 6 milion cash money? no freaking way! hapo hadi atafute mwenye kujilipua na kitambulisho cha bank unakuwa walau ushajua pa kuanzia:target:
Pole sana mkuu...(ashakum si matusi )i nakushauri ubadili na jina...(no offense)..
Tafuta mtu mwingine mpigieni dalali wa kwanza as if unataka nyumba maeneo ya sinza aonane na huyo mtu atembezwe hata nyumba 3anapomalizia tu mna fanya mawasiliano walipo una kwenda na polisi kabisa kamata peleka ndani na asitoke kwa gharama yeyote mpaka wamlete tapeli mwenzake.
Haki ya nani poleni sana.Mie nina dada yangu ana bonge la jumba Tegeta anahangaika kutafuta mtu wa kuishi humo kwa miaka mitatu maana yeye anaenda kusoma.heeee wengine mnatapeliwa jamani kweli watu tunatofautiana.
Dah. Pole mkuu, ila kuna umuhimu wa makubaliano yetu yoote siku hizi kuwa na mwanasheria. Mimi kwakweli injustice za nchi yetu zinanifanyaga hata kutumia illegal means mida ingine. Chukua zako wazee wa kazi wa 4 mnamtaimu jamaa, kibano cha nguvu then unampa wiki arudishe hela. Kuepuka usumbufu wa ushahidi hata usiwepo letewa picha tu.
Au kama vipi samehe! Mimi mpaka sasa nimetapeliwa zaidi ya mil 15 mpaka nimeamua biashara za kitaa sasa basi!
Ila kuna jamaa mmoja mkiona nyamgluu sipatikaniki JF kuanzia wiki ijayo mjue nimekimbia nchi, maana yule lazima nim Ulimboka kwa kweli!
Pole sana kutapeliwa ni kutapeliwa tu, hata kama ingekua chini ya milioni moja
Usimuachie huyo mzee nenda nae hatua kwa hatua
Kulikuwa na mkataba ila tumegundua kuwa ni fake
hii signecha yako hii....
ELIMU sina, PESA sina, MALI sina, Lakini namshukuru sana MUUMBA kwa kunipa afya iliyo bora na njema pia
Je, mwenyeenzi mungu mgawa riziki hajakujaalia sura nzuri hivi?
Inakera sana aisee, yani 6m mtu umezisaka kwa jasho then mwingine anaichukua tuu!! Ndio mana wanarogwa hakyamama
Mwenye nyumba fake alikuwa Kazura.Fred pia ni mwembamba.