Nimetapeliwa pesa, naombeni ushauri

Imani imetoweka..

Huyo mfungulie kesi rasmi ..ongea na mkubwa kituoni hapo..utalipwa..
 
Kwanza shikamoo mzee mpili

Itikia salamu Kwanza nitakushonea baadae
 
Pole sanaa bro ila kifupi binafsi ""SIJAWAHI AMINI MTU KWENYE PESA""
linapokuja swala la pesa SINA NDUGU Wala RAFIKI ninae mwamini.

Ila pole, nadhani ni wakati wa kwenda mahakamani.

#YNWA
 
Mtumie picha ya mkungu wa ndizi zinazoanza kuiva, halafu mwambie upo kwa babu...
 
Wewe ulifungua kesi ya madai ndio maana mkaandikishana. Sasa nakushauri nenda tena polisi, wafungue jalada la wizi wa kuaminiwa. Hii ni jinai na atakamatwa kama mtenda jinai. Wakimuweka ndani atatafuta pesa zako akulipe ili yaishe
 
Uko tayari kumfanya awe wa baridi kabisa?
 
Bora hiyo pesa yako ungepata mbususu mubashara hata ya kizungu,kiarabu angeikamua kiroho safi.
 
Fanya uchunguzi wa kina kujua mali anazomiliki.... Tafuta Askari 2 watata wapoze, ahidi hata 1mill wakifanikisha pesa kurudi ikibidi wape bonus ya pesa nusu za usumbufu kama watafanikisha hilo pia.....

Ingia kazini vaa roho ya fisi pita na chochote kilicho chake hata katikati ya mazishi
 
Hizo hela sijui huwa mnaziokota, yaani so simple unampa 13m,
Tena hukooo ingekuwa dar na wewe wangekuuza
 
Mkuu huyo jamaa deal naye TRADITIONALLY otherwise utapoteza muda wako tuu
 
Police wanadili na kesi za jinai na siyo madai aende akafungue kesi mahakamani moja kwa moja ili asipoteze pesa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…