Nimetapeliwa na mbeba mizigo

Kwanza nikupe pole!

Pili, naomba nikupe pole tena...

Tatu, pole sana kaka!

Ni hayo tu!
 
Ilikuwaje hukuchukua risiti........?.......dah.......kweli mjini shule...........
 
achana nae ndugu hayo mambo yapo tu kikubwA binadamu wana pande mbili usiwaamini sana

uko vizuri sana, tatizo huo upande wa pili kuujua ndo shida
 
Ndio maana watu wanamwagiwa tindikali hivi hivi.
 
kuna mdau kakushauri fresh. piga picha na ilete humu, pia kwenye post yako ungetaja jina la duka na location. pia hii inaweza kuwa stori nzuri kwenye magazeti ya udaku.
 
kaka let it go
kwamjibu wa sisi waislam midhali kakugeuka muache ila mliie mngu tu
 

pole saana kaka,dunia tambala bovu
 
Chunguza kwa makini yawezekana Huyo mwenye DUKA na mbeba kago ni ukoo wa panya
 
Chunguza kwa makini yawezekana Huyo mwenye DUKA na mbeba kago ni ukoo wa panya

naisi hivyo mkubwa, sababu wakati nampelekea kidogo kidogo alinikisha jina, iweje ashindwe kunipa ushirikiano? Akidai its none of my biznès
 

Kabisaaa, hana chake hapo na hamna cha kufanya kulipata godoro lake. Cha msingi sasa kufanya ni kuwaaibisha tu hao wezi. Ila asije vuka mstari sheria ikamkwida.
 
Mwenye duka hana kosa,mbeba kago ulimpeleka wewe sasa yeye mwenye duka afanyeje,ulitakiwa uchukue risiti na pia huyo mbeba kago ulitakuwa uchukue unayemfahamu au ungeenda nae!.Pole sana!
 
Sipati picha, mtu umetoka mihangaikoni na matumaini ya kulala usingizi mnono na wakati mwingine umeongozana na kisindikizio halafu unafika room fungua mlango, "kuko kama ulivyokuacha"
 
Si wabeba mizigo tu, binadamu wote siku hizi hawaaminiki. Kuwa makini, kama unaweza samehe, nunua godoro jingine maisha yaendelee.
majukumu ndugu yangu, ila nimeamin wabeba mizigo wengi ni wezi hiyo kazi ni kuzugia tu
 
Kama nitafute twende kwa mpemba mmoja hivi mtaalam- Jamaa atalileta godoro lako wakiambatana na huyo muuza duka wakikubembeleza ulichukue kwani ni mali yako.
 
Kwani we upo wapi nikusaidie mjukuu wangu mi ndo babu kutoka sumbawanga
Nichec inbox natibu mali iliyo potea ,mapenzi,nauza majini pamoja na vifaru ,siasa nguvu za kiume na n.k

babu mimi nisaidie ya mapenzi mjukuu wako mapenzi yananitesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…