Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii
KUBA'BABAKOOO....CHOKO WEWE!....
 
Chukua tahadhari utapeli umehamia kwenye mitandao. Ili kuwaepusha na wengine wasijekupata madhara ungeweka utambulisho wake wa JF.
 
Sina MDA wa kuandika thread y kusingiziwa Nina Mambo chungunzima ya kufanya na si kudeal na wapumbavu ambao hawanisaidii lolote ktk maisha ...Fikilia MTU ameamua kukuchafua acha akuchafue maana wakat wa Mungu kumuumbua si mbali na Nina uhakika kabisa sjatapel ndiomana sipapaliki na thread za kujitetea
Na hii pia nakuchafua?
Screenshot_20221120-173844.jpg
 
Kama nakusingizia hio namba ni ya nani?
Je unaitambua au huitambui???
Acha tamaa za kijinga binti,shida (njaa) haziishi!
So uliomba nikutumie pesa ilihali ukijua huwezi kuja kuitumikia (kutoa mbususu) kama unavodai tulikubaliana kwa mujibu wa maelezo yako hapo juu?
Ulichokua unataka ni pesa yangu tu na sio kuja kutoa mbunye kama yalivokua makubaliano yetu?
Huoni kama umekiuka makubaliano yetu tuliopanga? Huoni kama huo ni utapeli na wizi wa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu?
Nakushauri wacha hii tabia mara moja,usirudie tena kwa mtu mwengine.
Ww ndo mwenye akili za kitoto na unafeki maisha so ulitegemea ningenyamaza ili uendelee kutapeli watu wengine humu?
Na kama ulikua na shida ya pesa si ungeniomba tu kistaarabu,nione kama naweza kukusaidia ama laah!
View attachment 2416955
Hio hela huna nina uhakika kbs hio milion 4 na ushee hunaaa,kama ungekua nayo usingekuja kulalamika huku kutapeliwa kififty
 
Unaonekana unamatatizo yako binafsi!
Cna muda wa kijibizana naww!
Nimekuuliza swali badala ya kunijibu,unasema unasema nina matatizo yangu binafsi,any way huyo dada naona alikua sahihi kuchukua hio hela,kwasababu kwenye uzi wake amesema anahitaji mume na yupo serious kwa hilo,hio tsh 50 ulishindwa nin kwenda kununua malaya huko sinza?
 
Haki ya Mungu vile naapa,huo mchezo sichezagi mimi na kama nimewahi kumwomba huyo dada tgo lolote linipate,na kama sikumwomba naye apate ulemavu wa kudumu maishani mwake!
Ulemavu utapata wewe mjinga usie na akili timamu eti nimekutapel elfu 50 hahahah dua la kuku halimpati mwewe na ukae ukijua akuna laana za machoko zinazotiki kwa watu smart labda machoko wenzako
 
Madhara ya kuingia kichwa kichwa kwenye mahusiano ndo haya.
Hivi huko mtaani kwenu huonagi wanawake mpaka uje kushoboka na wanawake wa mitandaoni mkuu?
Hili swali Hata mimi huwa najiuliza sana!
Ukiona mtu anashoboka sana na watu wa mitandaoni ujue Ana Shida Flani hivi!! Na Wengine ni ma agent ambao wanakuwa wapo kwaajili ya kupandikiza uharibifu na maroho ya Kuzimu. Hivi unapataje Ujasiri wa Kumshobokea mtu ambae hata haumjui???
 
Kama kweli unachosema basi mkuu wewe bado mshamba sana wa wanawake..unampaje hela mtu humjui??
 
Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii

Na ww unaamini watu wanaotafuta mume mtandaoni? Amka usingizini
 
Back
Top Bottom