Nimetapeliwa mwenzenu!

Nimetapeliwa mwenzenu!

Asee leo baada ya kutapeliwa kizembe nimeamini yale maneno ya taikoni la fasihi, usimwamini mwanamke wala kumwonea huruma!

Kuna demu humu kapost anataka mume mie nkampandia hewani, tukaekana sawa, tatizo likaja kwenye kuonana, demu akadai hana pesa nkamtigo pesa alufu 50 chap na yakutolea.

Cha ajabu hapokei simu tena wala kujibu msg! We mdada ulonilaghai kwa maneno matamu kua unaniletea mbususu na umenizulumu pesa yangu namwachia Mungu atanilipia! Hapa nilipo moyo unanienda kasi sana na tumachozi twa mbali.

Kuanzia leo sitasubutu kutumia mtoto wa mtu nauli! Hapa nilipo najilaumu sana ni bora ningeingia hapo juliana nkapiga kitimoto na serengeti light baridiiiii...

Ushahidi wote nnao,mpaka picha zake!
Safari hii kavamia mtumbwi wa vibwengo!

View attachment 2415945
Kwanza kabisaa nikupe pole.... hizo picha pengine sio zake.... labdaa kachukua online...
 
Sina MDA wa kuandika thread y kusingiziwa Nina Mambo chungunzima ya kufanya na si kudeal na wapumbavu ambao hawanisaidii lolote ktk maisha ...Fikilia MTU ameamua kukuchafua acha akuchafue maana wakat wa Mungu kumuumbua si mbali na Nina uhakika kabisa sjatapel ndiomana sipapaliki na thread za kujitetea
 
Sina MDA wa kuandika thread y kusingiziwa Nina Mambo chungunzima ya kufanya na si kudeal na wapumbavu ambao hawanisaidii lolote ktk maisha ...Fikilia MTU ameamua kukuchafua acha akuchafue maana wakat wa Mungu kumuumbua si mbali na Nina uhakika kabisa sjatapel ndiomana sipapaliki na thread za kujitetea
Kuwa na Amani na anakuchafua vp wakat si ata hatukujui
 
Tulishindwana sehemu moja tu YEYE alitaka mapenzi tu Yani nilale nae kwa usiku mmoja akasema nitakupa fedha elfu 50 ukija tufilane nikamtukana nikamwambia mm sio sifiran na istoshe naitaji mume sio SIJIUZI najieshimu Sasa nazan alichokasilik ni mm kumblock baada y kunijibu shombo nilivyomwambia sifirani akanitext kawaida akaniambia kumbe hunijui nitakuchafua subili uone nikamwambia go on. Then nikablock na sms za kawaida
Nafikil ndio ivyooo kaamua aediti kijan mwenyew ukwel Hana hata uwezo wa elfu 50
huyu kijana ni Mjinga kweli nimemdharau kumbe ame edit massage ya Mwamala nilistuka 50000 kwa makato ya 9000

yaani huyu ametuonaje JF? naomba Jf isimamie sheria ipasavyo huyu kima ale BAN ili wengine wajifunze!
ama kweli njia ya muongo ni fupi
 
huyu kijana ni Mjinga kweli nimemdharau kumbe ame edit massage ya Mwamala nilistuka 50000 kwa makato ya 9000

yaani huyu ametuonaje JF? naomba Jf isimamie sheria ipasavyo huyu kima ale BAN ili wengine wajifunze!
ama kweli njia ya muongo ni fupi
Wacha kuropoka kama shoga!
Unajua iyo pesa imetumwa kutoka wapi au unabwata tu kama bata anayejiharishia?
 
Back
Top Bottom