Nimesutwa na mwanamke hadi nikawa mpole

Nimesutwa na mwanamke hadi nikawa mpole

Huu sio umbea. Hata mimi nikigundua nyendo zisizofaa kwa shemeji yangu yoyote naenda kumwambia mwenyewe achukue tahadhari, potelea mbali.
Kwangu ni umbea tu.

Ila, kila mtu anaishi kulingana na mfumo wake.

Kwangu kuingilia maisha ya wengine kwa namna yoyote ile ni mwiko.
 
mi nilimshauri afanye uchunguzi ila yeye kaenda kumwambia!na mimi nilifanya kumsaidia jamaa sio kwa nia mbaya!ila poa ndio nimekoma
Hakutakiwa kukutaja kabisa, kumweleza huyo mpenz wake aliyoambiwa ni sawa Pole sana maana ulkuwa na nia njema
 
Wewe wakati unamwambia hukuwaza kuwa kuna uwezekano ataweza kwenda kumwambia huyo shori wake?

Jifunze sasa. Jifunze kuyaacha mambo yasiyokuhusu.
Mleta Mada nimemuelewa mfano ni kaka ako au mdogo wako ukapata habari au kushuhudia nia yako ni njema utamweleza in and out na kumwambia afanye uchunguzi na asikutaje kabisa huo Ndo utaratibu mzuri kwa mtazamo wangu.

Mfano umenyamaza kabisa unajali yako kweli end of the day nduguyo anapata majanga ambayo ungeweza kumnusuru mapema utabaki unaumia tena.
 
Rafiki wa karibu wa boyfriend nilyetambulishwa ndo shemeji enzi za chuoni hizo baada ya muda kuna siku nimekutana nae cafeteria akaniambia kuna ishu nataka nkuambie aliniambia mengi akanifungua akasema nia yangu njema sijapenda upate baya usinitaje ila hata ukinitaja poa tu la muhimu ujumbe umefika ntajua ntadeal nae vp

Nilmshukuru sikuwah mtaja mpaka kesho hakuamini kabisa kama niliweza kutomtaja nkaachana na rafiki ake akaanza kuniambia nahisi kuna mtu kakuambia maneno ya uongo nkimjua wakati nshachunguza na ukweli nilpata
 
1479668982978.jpg
 
"umefika ofisini" hajanawa hata uso! unamaana gani katoka kwake bila kunawa uso ama hana nyumbani kwake anaishi mahala pa kazi!
 
Mi naunga mkono hoja ya kumwambia kwani lengo ni jema kumuomoa Rafiki yako,usingemwambia Siku moja aje kugundua mwenyewe na ajue kuwa wewe ulikuwa unajua Basi Hapi atakuchukia milele,kibaya tu kwa Huyo jamaa yako ni kwenda kusema kuwa nimeambiwa na Fulani

Hivyo basi huyo Rafiki yako hafai hawezi uzuia moyo wake IPO Siku atakutia hasara achana nae kabisa
 
Pole sana kaka ila huyo jamaa yako mishale yake ya akiri inatembea yote kwa wakati mmoja, hapo ww piga kimya Fanya yako siku ukikutana na shemeji yako huyo sehemu sehemu mdemdese hata kwa ofa na upige kupunguza hasira
 
Kuna jamaa aliingia mtaani kwetu. Si kavamia shangingi wa mtaani. Watu wanajua muda mrefu kuwa demu ana ngoma na yuko kwa dose, lakini hakuna mtu anayemshitua. Jamaa anaona kapata na anatamba kitaa. Leo nimegundua kwa nini washikaji hawamtonyi chalii waoo..
 
Inaboa sana mtu akimweleza mwenza haswa jambo kama hilo, hata kama alijitetea msichana huyo hakuwa na lazima ya kukutaja.

Ila muache alivyo endelea na maisha yako, siku moja atakukumbuka tu. Na usiongelee lolote juu ya mapenzi yao, hata akianza ongea mengine kama bado utapenda kuwa rafiki yake. Pia jua ueafiki wenu hautakuwa kama zamani hata iweje, na wewe kwao kama wakioana utapaona hauna uhuru tena. Huyu mwanamke umekuwa sumu kwake, lolote zuri baya usimsumulie huyo rafiki yako tena, sababu atamweleza na atatumia kukuumiza kwa ukweli uliomwambia mchumba wake.

Haya kaa na yako, umejifunza tho ulikuwa na nia njema.
 
Wewe hujafanya vibaya, ila huyo rafiki yako ni kishoia/ msukule unao tembea. Usirudie tena na huyo kilaza wako MTEME KABISA. Mwondoe ktk maisha yako. Hana maana yoyote: pillow talker: PUMBAVU zake.
 
mi nilimshauri afanye uchunguzi ila yeye kaenda kumwambia!na mimi nilifanya kumsaidia jamaa sio kwa nia mbaya!ila poa ndio nimekoma
Mpuuzi huyu acha wamgongee tu maana amekosa sifa za kiume.
 
ww mapenzi yananguvu sana na unaumiza asikuambie mtu
 
Mimi naamini jukumu la kumueleza ndg ama jamaa mwenendo mbaya wa mwenza wake, ni letu sote. Na ni sahihi kama ni kwa nia ya kujenga. Undugu hazina yetu.
 
"...kueleza udhaifu wa mtu kwa mpenzi wake ni kujitafutia uadui usio na maana..."
 
Tatizo masela nao wakishashikwaga akili na wanawake zao inakuwa tabu kweli... Hapo cha msingi ungemchana mwanamke mwenyewe kabla hujamwambia msela wako kashashikwa masikio huyo...
 
Back
Top Bottom