Muhajir Breezy
Member
- Nov 20, 2016
- 5
- 1
Agh mshkaji wako boya uyo mwanangu
Were nakukubaliHuna kosa ...kama mshikaji hajali muombe tu na wewe papuchi umle
It sound properPia mwanaume kuwa mmbea mmbea nayo haiji kabisa.
Kwanza hilo la umbea wala halina jinsia.
Watu wangekuwa wanajali na kufanya yao na kuachana na ya wengine basi migogoro na mitafaruku hapa duniani ingekuwa michache sana.
TayariHuyo hajakitendea haki kisuto walah ningebeba na ngoma kabisa na dela nakuvisha.
Sio vizuri hivo nawee unamuongezeaKomaaaa
yalishawahi nikuta haya.nkamtafuta yule dada kwa nia njema nkamjulisha bana huyo mwaanaume ni malaya kuna wenzio kibao huku unashea nao bwana so usijione umefika kisa kakutambulidha kwa dada ake tu.akaanza kujudai ohh umenitukana yani mi natumiwa tu??...ananipenda sana yule.Inaboa sana mtu akimweleza mwenza haswa jambo kama hilo, hata kama alijitetea msichana huyo hakuwa na lazima ya kukutaja.
Ila muache alivyo endelea na maisha yako, siku moja atakukumbuka tu. Na usiongelee lolote juu ya mapenzi yao, hata akianza ongea mengine kama bado utapenda kuwa rafiki yake. Pia jua ueafiki wenu hautakuwa kama zamani hata iweje, na wewe kwao kama wakioana utapaona hauna uhuru tena. Huyu mwanamke umekuwa sumu kwake, lolote zuri baya usimsumulie huyo rafiki yako tena, sababu atamweleza na atatumia kukuumiza kwa ukweli uliomwambia mchumba wake.
Haya kaa na yako, umejifunza tho ulikuwa na nia njema.
Kuna mtu kanitibua mkuu hata sijui kantibulia Jukwaa gani mpk nimechanganya post[emoji41][emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yaan wewe hadi MMU bado unawaza mambo ya shekhe!!!!
Yaani umeniacha hoi
Hongera kwa hoja yako nzuri sana..LinMazingira tunayoishi yameshatufanya tuwe na mentality mbovu,hamna utu wala kuaminiana,na hulazimu watu kupiga kimya huku wakimuona mwenzao anadumbukia shimoni.
Ulikuwa na nia njema lakini imekuponza,na hili nimeliona sana,hata ndugu wanaweza kujua kuwa dada yao ana tatizo lakini wakakaa kimya,wakasema watajuana wenyewe mbele ya safari.
Swali? Je tunajenga au tunabomoa