Nimesutwa na mwanamke hadi nikawa mpole

Nimesutwa na mwanamke hadi nikawa mpole

Hahahah naona bibie anatumia approach 'i can't be single because u refuse to mind ur own business! '
Mahusiano haya never judge...
 
habari za jumapili !
usiombe haya yakukute hata ungekuwa mbabe kama scopion lazima uwe mdogo kama sisimizi!

Nina rafiki mmoja tumeshibana sana yaani ni zaidi ya rafiki au naweza kusema ameshakuwa ndugu yangu!

Ana mpenzi wake ameshamvalisha pete kitambo tu kinachosubiriwa ni ndoa tu!
kiukweli yule mwanamke hajatulia kabisa ni zaidi ya mara moja nishamkuta katika mazingira sio mazuri tena wanaume tofauti na mapozi ya kimapenzi!kuna rafiki yangu mwingine aliendaga nae hadi mbeya akakaa nae wiki mzima huko yeye alienda kikazi.
niliamua kukaa kimya maana kuingilia mapenzi ya watu mwisho utaonekana mchonganishi nikanyamaza ili jamaa mwenyewe siku aje ajionee!
lakini ikawa inaniuma sana naona rafiki yangu pale anapotezewa muda tu nikaamua kujifunga mabomu nikamueleza nje ndani zote za mchumba wake!jana nimefika ofisini asubuhi naambiwa natafutwa na mwanamke [emoji15] huku jamaa wananiaglngalia dizaini flani!
haijapita muda hamadi shemeji huyu hapa hajanawa hata uso wala kupiga mswaki kanisimamia mbele
"haya nieleze lini nilikuuzia maana unasema mimi nauza"jasho lilitoka nikaanza kusweti balaa ikabidi niwe mdogo nikajitetea tu kwamba nililewa ili niue soo maana watu wa ofisini wakaanza kujipitisha wajue kuna nini?!daahhh yaani hapa najuta kumwambia msela nimeona namsaidia kumbe sikio la kufa haliskii dawa sina hamu
Wanaume wengine story zikikata ndio umbea unazama...
Jifunze kupitia hilo
 
hahahaaaa ndo ukome apa mjini kila mja na hamsa zake

bora ungefanya stail ya fumanio,mshikaji ajionee live.mwenzio unazani kakutaja kwa mapenzi yake si ajabu uno feni na wilbaro style vmemfanya jina likamtoka bahat mbaya.hapana chezeya wadada wa mujini
 
Ha haa mi mwenyewe unipe umbea kuhusu mtu wangu lazima tu nitamwambia....
 
Na sis wapagan je, tukilalamika patakalika kweli? Huyo sheikh atulie tu, waislamu wengi hawajasoma , wao wanajua quran tu, elimu dunia imewapita kushoto
Acha dharau mkuu alokwambia kuwa waislam hawajasoma ni nani hebu tuthibitishie hapa Leo tujue kuwa hao waislam hawajasoma
 
Sasa unataka kumwaribia maisha manzi wa watu wewe ulipaswa nawewe kupiga alaf kimya
 
habari za jumapili !
usiombe haya yakukute hata ungekuwa mbabe kama scopion lazima uwe mdogo kama sisimizi!

Nina rafiki mmoja tumeshibana sana yaani ni zaidi ya rafiki au naweza kusema ameshakuwa ndugu yangu!

Ana mpenzi wake ameshamvalisha pete kitambo tu kinachosubiriwa ni ndoa tu!
kiukweli yule mwanamke hajatulia kabisa ni zaidi ya mara moja nishamkuta katika mazingira sio mazuri tena wanaume tofauti na mapozi ya kimapenzi!kuna rafiki yangu mwingine aliendaga nae hadi mbeya akakaa nae wiki mzima huko yeye alienda kikazi.
niliamua kukaa kimya maana kuingilia mapenzi ya watu mwisho utaonekana mchonganishi nikanyamaza ili jamaa mwenyewe siku aje ajionee!
lakini ikawa inaniuma sana naona rafiki yangu pale anapotezewa muda tu nikaamua kujifunga mabomu nikamueleza nje ndani zote za mchumba wake!jana nimefika ofisini asubuhi naambiwa natafutwa na mwanamke [emoji15] huku jamaa wananiaglngalia dizaini flani!
haijapita muda hamadi shemeji huyu hapa hajanawa hata uso wala kupiga mswaki kanisimamia mbele
"haya nieleze lini nilikuuzia maana unasema mimi nauza"jasho lilitoka nikaanza kusweti balaa ikabidi niwe mdogo nikajitetea tu kwamba nililewa ili niue soo maana watu wa ofisini wakaanza kujipitisha wajue kuna nini?!daahhh yaani hapa najuta kumwambia msela nimeona namsaidia kumbe sikio la kufa haliskii dawa sina hamu
Bro najua watu watakuponda sana humu ila kwangu umefanya jambo sahihi, kuna jamaa yangu nae niliwah kuumpa habari za mchumba wake enzi ya uchumba wao jamaa akaniponda sana afu akafunga nae ndoa, kwa sasa nafikiri moyoni anomba Mungu atamke kuwa kuanzia Leo ndoa zote amezifuta Na atoe ruksa tuanze upya Jan 2017.
 
habari za jumapili !
usiombe haya yakukute hata ungekuwa mbabe kama scopion lazima uwe mdogo kama sisimizi!

Nina rafiki mmoja tumeshibana sana yaani ni zaidi ya rafiki au naweza kusema ameshakuwa ndugu yangu!

Ana mpenzi wake ameshamvalisha pete kitambo tu kinachosubiriwa ni ndoa tu!
kiukweli yule mwanamke hajatulia kabisa ni zaidi ya mara moja nishamkuta katika mazingira sio mazuri tena wanaume tofauti na mapozi ya kimapenzi!kuna rafiki yangu mwingine aliendaga nae hadi mbeya akakaa nae wiki mzima huko yeye alienda kikazi.
niliamua kukaa kimya maana kuingilia mapenzi ya watu mwisho utaonekana mchonganishi nikanyamaza ili jamaa mwenyewe siku aje ajionee!
lakini ikawa inaniuma sana naona rafiki yangu pale anapotezewa muda tu nikaamua kujifunga mabomu nikamueleza nje ndani zote za mchumba wake!jana nimefika ofisini asubuhi naambiwa natafutwa na mwanamke [emoji15] huku jamaa wananiaglngalia dizaini flani!
haijapita muda hamadi shemeji huyu hapa hajanawa hata uso wala kupiga mswaki kanisimamia mbele
"haya nieleze lini nilikuuzia maana unasema mimi nauza"jasho lilitoka nikaanza kusweti balaa ikabidi niwe mdogo nikajitetea tu kwamba nililewa ili niue soo maana watu wa ofisini wakaanza kujipitisha wajue kuna nini?!daahhh yaani hapa najuta kumwambia msela nimeona namsaidia kumbe sikio la kufa haliskii dawa sina hamu
Hiyo jamaaa yako akili zake ni sawa na mchumba wake huyo, pole sana mkuu. Siku nyingine mambo ya ngoswe mwachie......
 
jamaa imebaki ananikwepa tu yaani kweli imaniuma kama mwanamke kweli anaweza kuvunja urafiki wetu wa siku nyingi
alitakiwa achunguze na sio kukimbilia kumwambia mchumbake huyo...ila kama kama huyo mwanamke tabia yake ndivyo ilivyo ipo siku jamaa atarudi kwako kukiri na anaweza kuchelewa sana kumwelewa tabia yake sana ,,,ila wazungu wanasema time will tell
 
Huyo hajakitendea haki kisuto walah ningebeba na ngoma kabisa na dela nakuvisha.
 
hili ni eneo lingine la unafiki wetu watanzania.
kuna ndg zangu wawili. Mkubwa ni bwana A na mdogo ni bwana K. A alienda Guest house kwa mambo yake binafsi, huko akakutana na mke wa K akiwa na jamaa ambaye hakuweza kufahamika! A akafanya siri, asiseme kwa K, kilichokuja kutokea ktk ndoa ya K na mkewe, mpaka leo A anajuta why hakusema mapema!
 
mkuu muombe msamaha hyto mwanamama akikubali jaribu kuomba tunda ujipooze kwa kusutwa aisee pole sanaa
 
habari za jumapili !
usiombe haya yakukute hata ungekuwa mbabe kama scopion lazima uwe mdogo kama sisimizi!

Nina rafiki mmoja tumeshibana sana yaani ni zaidi ya rafiki au naweza kusema ameshakuwa ndugu yangu!

Ana mpenzi wake ameshamvalisha pete kitambo tu kinachosubiriwa ni ndoa tu!
kiukweli yule mwanamke hajatulia kabisa ni zaidi ya mara moja nishamkuta katika mazingira sio mazuri tena wanaume tofauti na mapozi ya kimapenzi!kuna rafiki yangu mwingine aliendaga nae hadi mbeya akakaa nae wiki mzima huko yeye alienda kikazi.
niliamua kukaa kimya maana kuingilia mapenzi ya watu mwisho utaonekana mchonganishi nikanyamaza ili jamaa mwenyewe siku aje ajionee!
lakini ikawa inaniuma sana naona rafiki yangu pale anapotezewa muda tu nikaamua kujifunga mabomu nikamueleza nje ndani zote za mchumba wake!jana nimefika ofisini asubuhi naambiwa natafutwa na mwanamke [emoji15] huku jamaa wananiaglngalia dizaini flani!
haijapita muda hamadi shemeji huyu hapa hajanawa hata uso wala kupiga mswaki kanisimamia mbele
"haya nieleze lini nilikuuzia maana unasema mimi nauza"jasho lilitoka nikaanza kusweti balaa ikabidi niwe mdogo nikajitetea tu kwamba nililewa ili niue soo maana watu wa ofisini wakaanza kujipitisha wajue kuna nini?!daahhh yaani hapa najuta kumwambia msela nimeona namsaidia kumbe sikio la kufa haliskii dawa sina hamu
Mkuu pole sana mimi hayo yashawai nikuta sema sijasutwa wala nini,unajua huwa inaumwa sana unapoona mwanaume mwezio anafanyiwa ivyoo,
mimi ilinikita kwa jirani yangu anamke wa pili watu wanamgongea ila mie nilimwambia kwa mafumbo sikumfungulia kurasa ila jamaa alishindwa himili mwanamke kamzibiti
mwisho wasiku nikaomba mzigo nami nikajilia tu vyangu maana hakuna namna ya kumsaidia nyingine[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom