Nimesomesha mchepuko nimepata matokeo chanya!

Nimesomesha mchepuko nimepata matokeo chanya!

Eeh Mungu baba linda mume wangu huko alipo. Mtie upofu asione mwanamke mwngne zaid yangu. Hata michepuko iwe makapi kwake. Ktk jina la Yesu. Amen.
 
Siwezi somesha mpenzi ata iweje hawa watu sio wazuri kabisa tena mkiwa mbali mbali ndo balaa tupu
 
''...Baadae tukatoka si unajua tena hatukugombana ki-vileee! Haikuwa rahisi kuachana hivihivi. Tukaenda kukumbushia...''

Hii sentensi tu ndio inanipa tafakuri mchana wa leo......
Akirudia tena gegedo lake halitabanduka ndani ya papuchi mpaka mke wake na mume wa mzizi mwenzie waitwe shwaini wakubwa
 
Siwezi somesha mpenzi ata iweje hawa watu sio wazuri kabisa tena mkiwa mbali mbali ndo balaa tupu
Mkuu nadhani huo ni mtizamo. Kwa mfano huyu binti,pamoja na kumdanganya kuwa sijaoa na baadae kugundua,lkn bado nnapoongea nae ana kauli zile zile km za mwanzo ambazo alikuwa akitoa kuelezea jinsi nnavyomsaidia. Tena amini usiamini tulikutana facebook.
 
kwa hiyo story yako inafundisha nini jamii?

kwa uelewa wangu mdogo unahamasisha mchepuko jambo ambalo sio la busara.
ukitaka kusema stori yake inafundisha nini unakosea.. Hivi kuna story ngapi zinaletwa hapa Jamvini hazina vichwa wala Miguu na watu bado wanachangia? Kwa upande wangu mleta mada nimemuelewa sana na hilo alilolisema lipo kwa watu wengi sio kwenye ndoa tu.. Vijana wengi husomesha wachumba zao lakini mwisho wa Siku huachwa wakilia so kukutana na binti aina ya huyo wa mtoa mada ni nadra sana so sisi tunajifunza hapo kuwa sio wote wenye roho Za kinyama
 
ukitaka kusema stori yake inafundisha nini unakosea.. Hivi kuna story ngapi zinaletwa hapa Jamvini hazina vichwa wala Miguu na watu bado wanachangia? Kwa upande wangu mleta mada nimemuelewa sana na hilo alilolisema lipo kwa watu wengi sio kwenye ndoa tu.. Vijana wengi husomesha wachumba zao lakini mwisho wa Siku huachwa wakilia so kukutana na binti aina ya huyo wa mtoa mada ni nadra sana so sisi tunajifunza hapo kuwa sio wote wenye roho Za kinyama
hata mm nimejifunza kitu, jinsi tu nilivyoanza msg yangu tu ndo imekustua bali tuko pamoja
 
ukitaka kusema stori yake inafundisha nini unakosea.. Hivi kuna story ngapi zinaletwa hapa Jamvini hazina vichwa wala Miguu na watu bado wanachangia? Kwa upande wangu mleta mada nimemuelewa sana na hilo alilolisema lipo kwa watu wengi sio kwenye ndoa tu.. Vijana wengi husomesha wachumba zao lakini mwisho wa Siku huachwa wakilia so kukutana na binti aina ya huyo wa mtoa mada ni nadra sana so sisi tunajifunza hapo kuwa sio wote wenye roho Za kinyama
Ahsante sana mkuu ibra87 kwa mchango wako. Hata mimi pamoja na msaada mkubwa niliompatia,lkn sikuwahi kufikiria km anaweza kuwa na kumbukumbu ya kurudisha fadhila kiasi hiki. Si kitu cha kawaida hata me kimenistua ndo maana nikaamua ku-share hapa na watu wengine.
 
Back
Top Bottom