sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Kwahiyo hadithi yake imekufurahisha na kukuhuzunishaNimesoma vizuri sana hadithi yako ni nzuri kwa kweli.. ila umenichefua kwenye swala la 'kukumbushia'
Kwahiyo hadithi yake imekufurahisha na kukuhuzunishaNimesoma vizuri sana hadithi yako ni nzuri kwa kweli.. ila umenichefua kwenye swala la 'kukumbushia'
Kwa miaka yote aliyonipa yeye na huduma zote alizopata me nilikuwa na mke na watoto ingawa hakujua lkn haiondoi ukweli kwamba alipora haki ya mwanamke mwenzie. Anyway nataka nimtumie hii link asome maoni yenu. Halafu nimsikie anashauri nini. Lkn mpaka anitumie kwanza hela nisije kumkwaza.Sijakataa na ndo mana swala la hela sijaona kama ishu ila ishu hapa na mke wa mtu......lazma aheshimu hilo.......na lazma ajiwekee limit kuwa pamoja na yote mzigo hautolewi tena......
Aliporaje wakati wewe haukuwa mkweli kwake? Ungesema ukweli afu ndo useme alimpora lakini wewe mwenyewe uliamua kipora haki ya mkeo na kumpa mwanamke mwingine.... Hiyo ni wewe si yeye tena mana hakujua kuwa una mke na wewe uneridhibitisha hilo.....Kwa miaka yote aliyonipa yeye na huduma zote alizopata me nilikuwa na mke na watoto ingawa hakujua lkn haiondoi ukweli kwamba alipora haki ya mwanamke mwenzie. Anyway nataka nimtumie hii link asome maoni yenu. Halafu nimsikie anashauri nini. Lkn mpaka anitumie kwanza hela nisije kumkwaza.
Daah..! Umeongea kwa uchungu sana mpaka kichwa kimesisimka wakati nasoma maoni yako. Anyway nathamini maoni yako,acha niezeke nyumba. Lkn maoni yako nayapa kipaumbele. Hela inabidi nichukue hizi alizoniahidi na hapa yupo anatafuta salio kwa mawakala anitumie. Ahsante sana sister kwa maoni yako yaliyojaa hekima!Aliporaje wakati wewe haukuwa mkweli kwake? Ungesema ukweli afu ndo useme alimpora lakini wewe mwenyewe uliamua kipora haki ya mkeo na kumpa mwanamke mwingine.... Hiyo ni wewe si yeye tena mana hakujua kuwa una mke na wewe uneridhibitisha hilo.....
Usimtumie mana utamchefua la muhimu kaa nae mbali acha atunze ndoa yake.......na wewe tunza ndoa yako kwa muda huu uliobakisha hapa duniani.......
Hela haina shida we chukua tu......Daah..! Umeongea kwa uchungu sana mpaka kichwa kimesisimka wakati nasoma maoni yako. Anyway nathamini maoni yako,acha niezeke nyumba. Lkn maoni yako nayapa kipaumbele. Hela inabidi nichukue hizi alizoniahidi na hapa yupo anatafuta salio kwa mawakala anitumie. Ahsante sana sister kwa maoni yako yaliyojaa hekima!
hahhahahahahahahah.....jamaa anakula pesa ya kidumekhee chineke miss chagga nitoe milion tatu? au umekosea ni laki tatu .. au sababu anachukua kwa mume wake ? chalii unaezeka nyumba yako na pesa za mwanaume mwenzio duh .. haya bana ndiyo wake wa siku hizi....
Mkuu karibu muda wote ambao nimekuwa nae hakujua km nimeoa. Na km angekuwa na dhamira mbaya km unavyodhani,baada ya kugundua nadhani ilikuwa nafasi nzuri zaidi kwake kukimbia. Tukubaliane tu kwamba wanatofautiana mkuu...!Binafsi sijaona story yako na hitimisho lake muingiliano wake...wanaolalamika kuwa wamesomeshwa wameumizwa hawafanani na wewe. .wewe ni mume wa mtu kwa hiyo hata angekupa maumivu isingekuuma...scenario yako na wengine havina muingiliano wa kimaana...
Ambacho unakisema wewe ni kesi ya mbwa kumuuma binadamu ila watu wanazungumzia(ga) binadamu kumuuma mbwa....wewe kama ungekuwa bachelor na kila kitu matumaini yako umeweka kwake ndo ungepata majibu vzr na ndio ingefanana na story za wengine au hitimisho lako..Mkuu karibu muda wote ambao nimekuwa nae hakujua km nimeoa. Na km angekuwa na dhamira mbaya km unavyodhani,baada ya kugundua nadhani ilikuwa nafasi nzuri zaidi kwake kukimbia. Tukubaliane tu kwamba wanatofautiana mkuu...!
Yaani tafisiri yako unasema nisingekuwa nimeoa na yeye angekuwa tofauti..!!? Wakati mwingine tujitahidi kuzitumia akili zetu vizuri ktk kuwaza. Huyu mtu hakujua km nimeoa,maana yake ni kwamba alikuwa na kilekile kichwani unachokisema wewe. Sasa sijui angebadilika nini km ningekuwa single wakati ndo alipenda iwe hivyo..?? Anyway tumeumbwa na tofauti za kimawazo,mitazamo nk.Ambacho unakisema wewe ni kesi ya mbwa kumuuma binadamu ila watu wanazungumzia(ga) binadamu kumuuma mbwa....wewe kama ungekuwa bachelor na kila kitu matumaini yako umeweka kwake ndo ungepata majibu vzr na ndio ingefanana na story za wengine au hitimisho lako..
Mkuu story yako ipo kinyume...ni kesi ya mbwa kumuuma binadamu ambacho ni kitu cha kawaida...Yaani tafisiri yako unasema nisingekuwa nimeoa na yeye angekuwa tofauti..!!? Wakati mwingine tujitahidi kuzitumia akili zetu vizuri ktk kuwaza. Huyu mtu hakujua km nimeoa,maana yake ni kwamba alikuwa na kilekile kichwani unachokisema wewe. Sasa sijui angebadilika nini km ningekuwa single wakati ndo alipenda iwe hivyo..?? Anyway tumeumbwa na tofauti za kimawazo,mitazamo nk.
kama nauona mfadhaiko wako.... ila nahisi kama hii story ni chai.khee chineke miss chagga nitoe milion tatu? au umekosea ni laki tatu .. au sababu anachukua kwa mume wake ? chalii unaezeka nyumba yako na pesa za mwanaume mwenzio duh .. haya bana ndiyo wake wa siku hizi....
Itakuwa ahueni kama ni chai lohkama nauona mfadhaiko wako.... ila nahisi kama hii story ni chai.