Nimesomesha mchepuko nimepata matokeo chanya!

Nimesomesha mchepuko nimepata matokeo chanya!

khee chineke miss chagga nitoe milion tatu? au umekosea ni laki tatu .. au sababu anachukua kwa mume wake ? chalii unaezeka nyumba yako na pesa za mwanaume mwenzio duh .. haya bana ndiyo wake wa siku hizi....
If u read btn the lines u can realize it's too sweet to be good
 
''...Baadae tukatoka si unajua tena hatukugombana ki-vileee! Haikuwa rahisi kuachana hivihivi. Tukaenda kukumbushia...''

Hii sentensi tu ndio inanipa tafakuri mchana wa leo......

hiyo inakula pande zote maana pia mkewe alisomeshwa hivyo naye anamchangia gharama jamaa apake rangi nyumba kisha nao wanakumbushia
 
Co kwa vile ameolewa ameshasema kwamba alipata na kaz alipomarza masomo rabda pesa anatoa kwenye mshahara wake ndo anampa amefanya vyema
 
khee chineke miss chagga nitoe milion tatu? au umekosea ni laki tatu .. au sababu anachukua kwa mume wake ? chalii unaezeka nyumba yako na pesa za mwanaume mwenzio duh .. haya bana ndiyo wake wa siku hizi....
Mkuu miss chagga kwa nini unadhani naezeka kwa hela za mwanaume mwenzangu wakati mtoaji anafanyakazi?? Me siamini km ni za mumewe,hizi ni zake na anarudisha fadhila. Na hapa me sifichi kitu,kwa mtu yeyote muungwana,angefanya vile. Me nimeumia sana kwake..! Nimemsaidia mpaka kuna kipindi alikuwa ananihurumia.
 
Kwa wale wenye ujenz npo Mr aluminium glass,ujenz bora madirsha, milango usisite kunitafuta piga no +255 664 069 041 WhatsApp pia no hyo hiyo
 
Mkuu miss chagga kwa nini unadhani naezeka kwa hela za mwanaume mwenzangu wakati mtoaji anafanyakazi?? Me siamini km ni za mumewe,hizi ni zake na anarudisha fadhila. Na hapa me sifichi kitu,kwa mtu yeyote muungwana,angefanya vile. Me nimeumia sana kwake..! Nimemsaidia mpaka kuna kipindi alikuwa ananihurumia.
pole kwa kuumia ila amini usiamini ukweli ni kwamba unaezeka na pesa za mwanaume mwenzio ..ila better ukachukua hiyo balance na ukakata mawasiliano
 
Huu muandiko wa mleta mada umekaa kike kike


Itakuwa ni Jike linakuja kujipa promo...
mkuu kwani ni lazima kuchangia kila Thread? Hebu niambie hata km ni hivyo ulivyosema,hiyo promo hapa inafanyaje kazi?? Jitahidi kutumia kichwa kufikiri badala ya kiungo kingine. Wengine huwa hatuna utamaduni wa kutunga uzushi ingawa kwenye hili jukwaa siyo kosa. Kwa kukusaidia tu,me mwanaume na nimeoa.
 
Kwa wale wenye ujenz npo Mr aluminium glass,ujenz bora madirsha, milango usisite kunitafuta piga no +255 664 069 041 WhatsApp pia no hyo hiyo
Kamata Fursa hio mzee wa Aluminium!! Wakishaezeka, mamsap ahamishie mahaba kwenye milango na madirisha ya Aluminium
 
pole kwa kuumia ila amini usiamini ukweli ni kwamba unaezeka na pesa za mwanaume mwenzio ..ila better ukachukua hiyo balance na ukakata mawasiliano
Nashukuru kwa maoni yako,lkn kumbuka me na huyu mtu tulikuwa wapenzi kabla hata ya huyu mme. Na kusema kweli,kujaribu kumsahau mwanamke uliyewahi kumpenda,ni sawa na kumkumbuka mtu usiyemfahamu..! Na tulidumu kwa kipindi kirefu sana. Anyway ntajitahidi kufanya hivyo kuepusha mengine.
 
Nashukuru kwa maoni yako,lkn kumbuka me na huyu mtu tulikuwa wapenzi kabla hata ya huyu mme. Na kusema kweli,kujaribu kumsahau mwanamke uliyewahi kumpenda,ni sawa na kumkumbuka mtu usiyemfahamu..! Na tulidumu kwa kipindi kirefu sana. Anyway ntajitahidi kufanya hivyo kuepusha mengine.
nakutakia kila la kheri
 
Back
Top Bottom