nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
yaani sisi tupo kwenye vita kali na mabebebru halafu serikali ya zanzibar inawalamba miguu?kwa ajili gani jamani?watalii? tutaenda sisi wenyewe wasitutishe bana, watakuja hata rafiki zetu w akichina kutalii huko tena uzuri wale hawanaga masharti