Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,743
- 3,699
No comment
umetisha mkuuKwanini mkuu
Nafikiri huyu jamaa haijui tz vizuri, kuna sehemu zimebarikiwa sana, maji tele na yamewazidiToa mfano,ni wapi
Si kwamba najisifu..angalau kila wilaya ya nchi hii nimeshawahi kuishi.
Ni kweli monduli kuna shida ya maji, lakini kuna mengi ya kujifunza nyuma ya tatizo hilo.
Monduli ni kubwa na kwa bahati nzuri/mbaya wakazi wengi wa monduli ni jamii ya wafugaji/wamasai, hawa hawatulii sehemu moja kwa ajili ya kutafuta malisho, hivyo inaleta ugumu kuwapatia huduma km maji, shule, zahanati au hata miundo mbinu.
Hivyo matatizo yao ni vigumu kusaidiwa na mtu mmoja ikiwa serikali haitaweka mkono.
Najua serikali imejitahidi kwa kushirikiana na world bank wametoa maji Arusha ngaramtoni hadi monduli maarufu maji ya lowasa na pia wametoa maji meru..bangata hadi monduli.
Hivyo serikali pamoja na aliyekuwa mbunge wao walijaribu kupunguza makali.
Kilwa PandeToa mfano,ni wapi
Si kwamba najisifu..angalau kila wilaya ya nchi hii nimeshawahi kuishi.
Nafikiri uko gizani, funguka kidogo, sio mkazi wa monduli, cna maslahi na lowasa, wala sio mpambe wake but ukweli ulio wazi katenda makuu monduli kushinda mbunge yeyote japo changamoto bado nyingi piaHizo stori zenu za kusoma kwenye historia hazina nafasi tena kwenye ulimwengu huu.
Hivyo vijiji vya wamasai vingepatikanaje kama watu hawatulii?
Zahanati na baadhi ya vituo vya afya vilijengwaje kama watu hawatulii.
Stori za wamasai kuhama zilikuwa karne ya 17,18, na 20 mwanzoni na sio karne hii.
Matatizo ya maji na ardhi Monduli yatatuliwe acheni kudanganya.
Huko ndo home hivyo usidanganye.
Nafikiri uko gizani, funguka kidogo, sio mkazi wa monduli, cna maslahi na lowasa, wala sio mpambe wake but ukweli ulio wazi katenda makuu monduli kushinda mbunge yeyote japo changamoto bado nyingi pia
Sikitika na Chalinze mkuu. Msoga hawajaoga mwezi wa 8 huu. Watu wananunua ndo ya maji ya Lita 20 kwa shilingi 3,000/-, Mwenda zake alivyoona ameanza kunuka jasho akaondoka kimya kimya. Riziwani anaishi Oysterbay. Madiwani wapo wapo na wao wana-share bwawa pamoja na ng'ombe na mafisi. Ni jirani tu kwa Rais Kikwete...Hapa simlengi mtu wala chama wala kupinga mawazo tofauti.
Lakini kama Mtanzania imeniuma sana kuona binadamu wenzetu wa Monduli....kuwa na shida ya maji kiasi cha kuhatarisha maisha yao......
Ref: Kipindi Channel ten cha mimi na tanzania kinachoongozwa na Hoyce temu.
Naona inatosha manake naweza kuchuma dhambi.
Ana shahada ya sanaa yenye vimelea vutizi vya kupumbaza watu.....Monduli ndio kule kwa yule anayechukia umaskini? Si amekuwa mbunge wa jimbo zaidi ya miaka 20???!!
Nafikiri uko gizani, funguka kidogo, sio mkazi wa monduli, cna maslahi na lowasa, wala sio mpambe wake but ukweli ulio wazi katenda makuu monduli kushinda mbunge yeyote japo changamoto bado nyingi pia
Ndo uko mkuu yn aibuMonduli ndio kule kwa yule anayechukia umaskini? Si amekuwa mbunge wa jimbo zaidi ya miaka 20???!!