nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,090
- 12,831
Hapa simlengi mtu wala chama wala kupinga mawazo tofauti.
Lakini kama Mtanzania imeniuma sana kuona binadamu wenzetu wa Monduli....kuwa na shida ya maji kiasi cha kuhatarisha maisha yao......
Ref: Kipindi Channel ten cha mimi na tanzania kinachoongozwa na Hoyce temu.
Naona inatosha manake naweza kuchuma dhambi.
Lakini kama Mtanzania imeniuma sana kuona binadamu wenzetu wa Monduli....kuwa na shida ya maji kiasi cha kuhatarisha maisha yao......
Ref: Kipindi Channel ten cha mimi na tanzania kinachoongozwa na Hoyce temu.
Naona inatosha manake naweza kuchuma dhambi.