Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
- Thread starter
- #141
nadhani wewe utakuwa sio mjinga ila punguwani, unasema unaangalia tv ofisini badala ya kufanya kazi. Sasa wewe na waloenda kumzika Kanumba kuna tofauti gani. Tupo kumzika shujaa wetu. R.I.P Kanumba
Huna hekima wala busara! Kama huu ni msiba shujaa kazi ipo