Nimesikitishwa na Watanzania!

Khaa jamani mbona kufuru namna hiyo kwahiyo ulitaka watu wasiende kuzika?wangekosekana napo mngesema sasa sijui mnataka iweje?yamepotea mabiloni mangapi hata leo mlalamikie umati ulioenda kumzika kanumba yaani binadamu wana hila kama kkikwapa kunuka bila kidonda acheni hizo.

Kuna watu wanazikwa na halmashauri za miji, unadhani hawazikwi? Nikipewa option ya kuzikwa na watu wawili tu ili umati uliobaki ukafanye kazi zenye manufaa kwa taifa nitaipokea kwa mikono miwili. Kwanza maiti huwa hajali kama mnamchoma, mnamfukia au mnalishia mwili wake simba! They don't feel or know anything!
 
Rt Rev tuko pamoja mkuu! nchi hii kuna uendawazimu wa ajabu sana, Kila mahali naskia kanumba kanumba.. i mean we are doomed man! nilishangaa majuzi kuona kwenye newz eti rais kaahirisha safari kwa ajili ya huu msiba, hata hivyo tuliona rais akienda davos kuhudhuria mkutano huku akiacha watanzania wakipukutika mahospitalini kutokana namgomo wa madaktari.
 
Mimi napenda tu kuwaambia magamba kuwa upendo kwa serikali yao hauji kwa kudandia misiba isiyowahusu ila ni kwa kutatua matatizo ya watanzania. nimeshangaa sana watu niliwaona kwenye msiba huu wakati naangalia TV ya magamba Clouds TV. Nape, Mukama, Tibaijuka, Membe, Bilal, Mama Salma, Mwenda, na wengine magamba wengi tu. yaaini wameteka msiba wa vijana wasanii na kuufanya wao. wanaongea wao tu na wanaonekana wao tu hii ni hatari sana sijui kwenye ofisi zao yupo nani. Just imagine eti Mkama na Nape wanaenda kutoa speech kwa mantiki ipi kama si cheap politics? Tuamke watanzanjia tusitetee tu vitu vya ajabu ajabu ni kweli upendo katika misiba na kufarijiana ni utamaduni wetu sisi watanzania lakini kwa haya niliyaona leo sidhani kama ni upendo tu bali kuna watu kutaka kuchukua umaaurufu kwa kigezo cha msiba huu. Tuwaachie vijana msiba wao wamzike mpendwa wao bwana na wao leo ni wakati wao wa kuuza sura na sio kila seheme tuuze sura sisi tu HAPANA

hata mimi nimeshindwa kabisa kuelewa viongozi wa serikali walikwenda kufanya nini huko au ndio ushikaji au ujamii au upendo
upendo kwa waliokufa walio hai waendelee kutaabika na maisha yao maji shida umeme longolongo pesa nyingi serikali imetumia katika msiba huu hizo pesa kweli hazikuwa na jambo la muhimu la kufanya ukiuliza eti wao wajiita watu wa watu.
watu au wafu?
unafiki mtupu
RIP kanumba
 
kanumba pamoja na kututoka bado haters !! wanaendelea ku hate!...

Msiba huu! unadhihirisha jinsi wasanii wanavyothaminiwa hata wakiondoka duniani kazi zao zitakumbukwa tu!!....



R.I.P kanumba! "the great"!
 
Mimi napenda tu kuwaambia magamba kuwa upendo kwa serikali yao hauji kwa kudandia misiba isiyowahusu ila ni kwa kutatua matatizo ya watanzania. nimeshangaa sana watu niliwaona kwenye msiba huu wakati naangalia TV ya magamba Clouds TV. Nape, Mukama, Tibaijuka, Membe, Bilal, Mama Salma, Mwenda, na wengine magamba wengi tu. yaaini wameteka msiba wa vijana wasanii na kuufanya wao. wanaongea wao tu na wanaonekana wao tu hii ni hatari sana sijui kwenye ofisi zao yupo nani. Just imagine eti Mkama na Nape wanaenda kutoa speech kwa mantiki ipi kama si cheap politics? Tuamke watanzanjia tusitetee tu vitu vya ajabu ajabu ni kweli upendo katika misiba na kufarijiana ni utamaduni wetu sisi watanzania lakini kwa haya niliyaona leo sidhani kama ni upendo tu bali kuna watu kutaka kuchukua umaaurufu kwa kigezo cha msiba huu. Tuwaachie vijana msiba wao wamzike mpendwa wao bwana na wao leo ni wakati wao wa kuuza sura na sio kila seheme tuuze sura sisi tu HAPANA

hata mimi nimeshindwa kabisa kuelewa viongozi wa serikali walikwenda kufanya nini huko au ndio ushikaji au ujamii au upendo
upendo kwa waliokufa walio hai waendelee kutaabika na maisha yao maji shida umeme longolongo pesa nyingi serikali imetumia katika msiba huu hizo pesa kweli hazikuwa na jambo la muhimu la kufanya ukiuliza eti wao wajiita watu wa watu.
watu au wafu?
unafiki tu hakuna lolote.
RIP Kanumba
 
Tanzania inavyo pigika kiumaskini jibu lake limejibika leo. Taifa letu lina wajinga wengi, wasio na kazi za maana lina viongozi wengi wanaitwa wa kitaifa wasio na maana na wanajishughulisha na vitu vya ovyo, eg Rais kwa huo msiba, badala ya kua dress kwanini mafuta ya petrol yamepanda kutoka sh1,940 kwa lt kuwa 2,331 kwa litre. Ama kwanini umeme unakatika bila wateja kutaarifiwa. Mi najikana kuwa mtanzania kwa huu ujinga ninaouona.

Manung'uniko hayo hayasaidii chochote mkuu, si alishasema hajui kwa nini watanzania tu masikini, na tena si alinukuliwa akisema yeye si mnvua hata ajaze mabwawa ya mtera? So shughulipekee iliyobaki ya kung'arisha jina lake ni misiba, anaitumia kama 'relief valve'.

R.I.P kanumba.
 
Tanzania inavyo pigika kiumaskini jibu lake limejibika leo. Taifa letu lina wajinga wengi, wasio na kazi za maana lina viongozi wengi wanaitwa wa kitaifa wasio na maana na wanajishughulisha na vitu vya ovyo, eg Rais kwa huo msiba, badala ya kua dress kwanini mafuta ya petrol yamepanda kutoka sh1,940 kwa lt kuwa 2,331 kwa litre. Ama kwanini umeme unakatika bila wateja kutaarifiwa. Mi najikana kuwa mtanzania kwa huu ujinga ninaouona.

Nimeambiwa jina langu (Mtoboasiri) ni maarufu sana Malawi, sijui nihamie huko?
 
R.I.P Kanumba,
Rev uko Sahihi, Naona Bongo Movie wameuteka msiba wa Kanumba ili kuonyesha/Kukuza Empire yao, Hata wale ambao walikuwa wanampiga Vita wakati akiwa Mzima sasa hivi wao ndio Kimbelembele na kutaka kuonekana kuwa wao ndio hasa, Wazazi nao wamekosa kauli juu ya mtoto wao, Hii ndio TANZANIA.
uvivu wa Watanzania hawana kazi za kufanya hata wangemkuta ameuawa kwa kuiba bado wangemtukuza
 
Na side na wewe Masa!
Na huu ndio unatufanya tunakuwa hatupati nafasi za kuajiriwa sehemu nyingi kwa kuendekeza mambo yasiyo na msingi.
Msiba una wenyewe, we unaacha kazi ambayo ndiyo hukupatia kipato wewe na jamaa zako unaenda leaders eti kumwanga SK! Nina rafiki yangu mmoja, kiasili yeye anatoka nje ya hii nchi, alifiwa na baba yake akanambia hawezi kwenda as kwanza likizo yake ni after 4 months! sana sana alisema yeye atatuma hela zisaidie mazishi then yeye ataenda wakati wa likizo. Alisema kuwa hata akienda hendi kumfufua so cha msingi ni kusaka fedha ili alee mama na wadogo zake! Yaani kumjua tu SK basi watu wanapigwa na jua tangu asubuhi na hata hawakumwona huyo SK mwenyewe na sio ajabu virungu wamekula halafu kesho watatumia ile hazina ya tudawa tulikokuwa nato kujitibia for unnecessary ceremony!
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa
Mimi ukiniambia kuna nchi yenye mijitu milimbukeni na mishamba na mijinga kama Tanzania nitakubishia kabisa. Mara ifukuzane na mifupa ya albino mifukoni eti ni utajiri, mara ogope kutetea haki zao, eti ni kuharibu amani na utulivu (wakati wastani wa umri wa kuishi uko 40-45, ajali zikitokea eti ni mapenzi ya Mungu, uf...... Taifa la mijinga. Nahamia walau Kenya
 
hivi raisi wetu hana kazi za msingi za kufanya? yes kanumba alifanya kazi nzuri katika tasnia ya filamu lakini je kwa umuhimu gani hata raisi mawaziri wabunge na viongozi wa mkoa kuacha kazi zao na kuenda ktk msib?a sawa viongozi pia ni wananchi yaweza kuwa walimpenda msanii huyu lakini msiba kuwa wa kiserikali? kwani watu wangapi tanzania wameyafanyia mambo makubwa na yamuhimu taifa yani msiba kugharamiwa na serikali hekaheka mtaani ndio maana tupo hivi tulivyo watanzania tunatia huruma.
uliza gharama na michango waliyotoa huko msibani halafu kuna wamama wanasafiri kilometa kumi kutafuta kisima cha maji kitoacho maji japo yana rangi ya kahawia ili mradi makayatumie.
kazi sana kuikomboa tanzania kifikra na mtazamo.
RIP Kanumba
 
Nafikiri una matatizo ya akili. Hivi unataka kuniambia haujawahi kufiwa. Sisi ni watanzania na jadi yetu ni upendo. Mchango aliotoa Kanumba kwenye jamii ya Tanzania nina imani wewe itakuchukua muda kuufikia. Penye matatizo ushabiki wa kitu chochote unakaa pembeni. Kanumba kafa tunaomboleza. Elewa hivyo

Msiba ni kitu cha kawaida sana inabidi kazi ziendelee akifa mwingine kesho na presha tena hakuna productivity jaribu kufikiri kidogo
 
hivi raisi wetu hana kazi za msingi za kufanya? yes kanumba alifanya kazi nzuri katika tasnia ya filamu lakini je kwa umuhimu gani hata raisi mawaziri wabunge na viongozi wa mkoa kuacha kazi zao na kuenda ktk msib?a sawa viongozi pia ni wananchi yaweza kuwa walimpenda msanii huyu lakini msiba kuwa wa kiserikali? kwani watu wangapi tanzania wameyafanyia mambo makubwa na yamuhimu taifa yani msiba kugharamiwa na serikali hekaheka mtaani ndio maana tupo hivi tulivyo watanzania tunatia huruma.
uliza gharama na michango waliyotoa huko msibani halafu kuna wamama wanasafiri kilometa kumi kutafuta kisima cha maji kitoacho maji japo yana rangi ya kahawia ili mradi makayatumie.
kazi sana kuikomboa tanzania kifikra na mtazamo.
RIP Kanumba

walitakiwa kutoa salamu za rambi rambi tu, wanaenda kuangalia videmu
 
Na side na wewe Masa!
Na huu ndio unatufanya tunakuwa hatupati nafasi za kuajiriwa sehemu nyingi kwa kuendekeza mambo yasiyo na msingi.
Msiba una wenyewe, we unaacha kazi ambayo ndiyo hukupatia kipato wewe na jamaa zako unaenda leaders eti kumwanga SK! Nina rafiki yangu mmoja, kiasili yeye anatoka nje ya hii nchi, alifiwa na baba yake akanambia hawezi kwenda as kwanza likizo yake ni after 4 months! sana sana alisema yeye atatuma hela zisaidie mazishi then yeye ataenda wakati wa likizo. Alisema kuwa hata akienda hendi kumfufua so cha msingi ni kusaka fedha ili alee mama na wadogo zake! Yaani kumjua tu SK basi watu wanapigwa na jua tangu asubuhi na hata hawakumwona huyo SK mwenyewe na sio ajabu virungu wamekula halafu kesho watatumia ile hazina ya tudawa tulikokuwa nato kujitibia for unnecessary ceremony!

haya sasa wanaishia kupigwa virungu,kukohoa kwa mavumbi wakirudi mwili umechoka na huku bosi kashanoti alitoroka mida fulani jasho limewajaa.
ukiuliza mfukoni hana hata 10,000 hakai chini kujiuliza nitapata wapi hela ya kesho na keshokutwa anawaza kwenda kuuza sura ili tu nao waonekane na wapate story mtaani.
kazi tunayo watanzania
 
Mimi ukiniambia kuna nchi yenye mijitu milimbukeni na mishamba na mijinga kama Tanzania nitakubishia kabisa. Mara ifukuzane na mifupa ya albino mifukoni eti ni utajiri, mara ogope kutetea haki zao, eti ni kuharibu amani na utulivu (wakati wastani wa umri wa kuishi uko 40-45, ajali zikitokea eti ni mapenzi ya Mungu, uf...... Taifa la mijinga. Nahamia walau Kenya

stupid kabisa, na tutaishia hapo hapo watu hata hawajali maisha yao. Kwanza ni muda wa kuwaambia watu msilewe sana mtakufa sio kuomboleza kimya kimya
 
Kuna tatizo kwakweli; taifa hili vitu ambavyo ni priority huwa hazipati air time

Vitu ambavyo ni "normal" kama vifo, uzinduzi etc.. vinapata air time ya kubwa

Vitu ambavyo ni vya kijinga sana kama vile uzinzi, vita kufarakana etc..vinapata air time kubwa sanaaaaaaaaa.

Dunia rafiki wa shetani
 
Back
Top Bottom