Nimesikitishwa na Watanzania!

Nimesikitishwa na Watanzania!

Kwa tafriri nyingine inaonyesha ni kiasi gani watanzania wengi hawana kazi au shughuli za maana za kuwapatia kipato with exeption to waandishi wa habari na viongozi wa serikali. Majority ni walalahoi tu ambao hawana chochote cha kuwakip busy. Anyway sio mbaya kuomboleza but tunapata tafsiri nyingi sana kutokana na huu msiba.
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders

hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa


Kwenda msibani ni kutokuwa na kazi,kwa hiyo
watu walioenda kumuaga Regia Mtema pale karimjee ni kwa sababu walikuwa wamekosa kazi..sio.
 
hivi raisi wetu hana kazi za msingi za kufanya? yes kanumba alifanya kazi nzuri katika tasnia ya filamu lakini je kwa umuhimu gani hata raisi mawaziri wabunge na viongozi wa mkoa kuacha kazi zao na kuenda ktk msib?a sawa viongozi pia ni wananchi yaweza kuwa walimpenda msanii huyu lakini msiba kuwa wa kiserikali? kwani watu wangapi tanzania wameyafanyia mambo makubwa na yamuhimu taifa yani msiba kugharamiwa na serikali hekaheka mtaani ndio maana tupo hivi tulivyo watanzania tunatia huruma.
uliza gharama na michango waliyotoa huko msibani halafu kuna wamama wanasafiri kilometa kumi kutafuta kisima cha maji kitoacho maji japo yana rangi ya kahawia ili mradi makayatumie.
kazi sana kuikomboa tanzania kifikra na mtazamo.
RIP Kanumba

Wanaenda kuuza sura mkuu!
Leo kule bungeni kulikuwa na shughuli za msingi lakini jamaa waka-opt kuwa leaders club! Resources za Watanzania zachezewa hivihivi! Coverage ya Aron Mahundi haikuwa hivi! Mchango wa huyu mzee naamini ni mkubwa kuliko Kanumba! Naskia Kyaro naye kaaga dunia tuone kama Kaka mkuu ataahirisha safari arudi Tanzania!
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa
hata wazungu wamo...

unaona wazungu wanamlilia huyu dada..hawakufanya kazi siku ile....
 
Last edited by a moderator:
Kwenda msibani ni kutokuwa na kazi,kwa hiyo
watu walioenda kumuaga Regia Mtema pale karimjee ni kwa sababu walikuwa wamekosa kazi..sio.

Wote hao ni tatizo! Mbona una kichwa cha panzi?
 
Kwa tafriri nyingine inaonyesha ni kiasi gani watanzania wengi hawana kazi au shughuli za maana za kuwapatia kipato with exeption to waandishi wa habari na viongozi wa serikali. Majority ni walalahoi tu ambao hawana chochote cha kuwakip busy. Anyway sio mbaya kuomboleza but tunapata tafsiri nyingi sana kutokana na huu msiba.
 
Ona Waziri Nchimbi ameshinda msibani siku Mbili jamani wendawazimu Huu!
kama kashinda kwa siku zote mie naona kwa yeye nchimbi ndio kazi yake hasa ikizingatiwa jamaa alikuwa chini ya wizara yake
 
Mhhhh. Kweli mnachemka Leo, hivi hamjui Huyu jamaa ni maarufu? Kuna Shida gani kupata hiyo heshima guys hebu please Acheni wivu, nyie wenyewe hamfanyi kazi kila wakati JF mna comment udaku everyday! No way this happens once in ones life, it's not daily, do not think everybody amekwenda pale hana kazi, no! It's a sympathy, na hii ndiyo tofauti ya TZ na nchi nyingine, Ukifa you don't need a life insurance to cover for your funeral costs, people will finance you! Mnataka mike huko everything is money you save for yourself? Hata funeral you pay through insurance! Crazy!
 
Mimi ukiniambia kuna nchi yenye mijitu milimbukeni na mishamba na mijinga kama Tanzania nitakubishia kabisa. Mara ifukuzane na mifupa ya albino mifukoni eti ni utajiri, mara ogope kutetea haki zao, eti ni kuharibu amani na utulivu (wakati wastani wa umri wa kuishi uko 40-45, ajali zikitokea eti ni mapenzi ya Mungu, uf...... Taifa la mijinga. Nahamia walau Kenya

enhe umeona! Leo angalau watanzania mmefunguka. Karibu kwa Baba Jimmy, baadhi tulishitukia usanii wa nyumbani siku nyingi tu.
 
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii

RIP Kanumba

Rt Rev Masa

mimi si mwanasaikolojia lakini nadhani suala hapa ni mitizamo inayokinzana.

wewe umeliangalia hili tukio na kufanya assessment yako kwa kutumia akili zaidi (reason). kwa hiyo watakuwepo watakaosema "wow, masa is bright", lakini pia wapo watakaomaka "masa is heartless!".

wapinzani wengi wa hoja yako ni wale wanaosukumwa zaidi na emotions badala ya reason. hao ndio wataku-brand as "heartless".

unaweza kuua hata mama yako mzazi kwa kuegemea sana kwenye reasoning ya tukio lakini pia unaweza kujikuta unamuachia mwanamume mwingine atembee na mke wako kwa msukumo wa emotions!

the irony of my narration is.....yabidi sote tufike mahali tukubaliane kuwa ni lazima wakati wote kuwe na appropriate balance kati ya "reason" na "emotion".
 
nadhani wewe utakuwa sio mjinga ila punguwani, unasema unaangalia tv ofisini badala ya kufanya kazi. Sasa wewe na waloenda kumzika Kanumba kuna tofauti gani. Tupo kumzika shujaa wetu. R.I.P Kanumba
 
Kwenda msibani ni kutokuwa na kazi,kwa hiyo
watu walioenda kumuaga Regia Mtema pale karimjee ni kwa sababu walikuwa wamekosa kazi..sio.

Emilia, you may decide not to agree on this, but comparing Regia and Kanumba is like comparing a safari boot with a football boot!

Ningejaaliwa ningekwenda kwenye mazishi ya Idd Amin japo sikuwahi kumpenda kwa kuwa na negative impact aliyoileta globally, but I'd think twice before going to Kanumba's funeral kwa kufikiria impact yake kwa moral belief ya next generation.
 
nadhani wewe utakuwa sio mjinga ila punguwani, unasema unaangalia tv ofisini badala ya kufanya kazi. Sasa wewe na waloenda kumzika Kanumba kuna tofauti gani. Tupo kumzika shujaa wetu. R.I.P Kanumba
Mkuu unaweza kunipa tafsiri ya neno shujaa? au Shujaa siku hizi hili neno limepata tafsiri mpya?
 
wewe uliendika thread hii unajua utakufa kifo gani? he was a human just like any otha. Not perfect, jiangalie maisha yako kabla huja-judge ya wenzio.. Kinakuuma sana alivyozikwa mwenzio unatamani ungekua wewe, kufa basi na ww.

we c umeenda kuinua uchumi wako???? yatosha sio kila mtu anafanya kazi kwa mhindi.
 
Francois Rabelais said "Nature abhors a vacuum". Kama nchi haina uongozi wa kweli, na wananchi wana kiu ya kuwa na kiongozi, mtu yeyote mwenye bashasha anaweza kujipaza akaziba nafasi na watu wakampenda.

Kwa hiyo ni kawaida kuona watu wanaangukia ndoto za kutaka kuwa na mfano hata kama mfano wenyewe una mawaa. Na watu wengi (ukimuondoa Mwanamama mmoja aliyesema hawezi kwenda msibani kwa sababu hamjui Kanumba na hajawahi hata kuona movie yake moja, na wengine wenye misimamo yao isiyofuatisha "mob psychology") watu wengi watataka kushiriki katika tukio hili "la kihistoria".

Mie ningewaasa Watanzania, hasa wale ambao wamepata kukosa kisingizio cha umasikini, wafanye checkup regularly ili kujua ni vitu gani wanaweza kufanya na vipi hawawezi.

Pia these garden variety hoes are no good, when it's time one may need a sensible Valmet / John Deere.
 
Mimi ukiniambia kuna nchi yenye mijitu milimbukeni na mishamba na mijinga kama Tanzania nitakubishia kabisa. Mara ifukuzane na mifupa ya albino mifukoni eti ni utajiri, mara ogope kutetea haki zao, eti ni kuharibu amani na utulivu (wakati wastani wa umri wa kuishi uko 40-45, ajali zikitokea eti ni mapenzi ya Mungu, uf...... Taifa la mijinga. Nahamia walau Kenya
Umesahau kikombe cha babu, watu waliwang'oa wagonjwa hospitalini wakawakokota porini wengine wameenda kufia kule na kuna DECI eti waliambiwa pesa zinapandikizwa kisha zinazaa!! Ukiwaonya wanasema usiwabanie mkombozi wa maskini, kazi tunayo.
 
Hoja yako ina mashiko. Isitoshe wanaosema tumsamehe marehemu hawajakosea. Ila hoja inaongelea taifa la wazinzi. Hii ni kweli taifa letu ni la hovyo na linatawaliwa na watu wa hovyo. Hata hivyo tusishangae msukumo na hadhi aliyopewa Kanumba. Ni kwa vile ni msanii kama wao na mazinzi mwenzao so to speak. Nilishangaa kuona msiba wake unapewa uzito kuliko hata wa marehemu makamu wa rais Omari Juma. This is saaaad. Tunaelekea wapi iwapo watu wanakwepa majukumu muhumi ni kujichimbia kwenye mambo ya hovyo? Hakika tumekwisha na tuililie Tanzania inayogeuzwa kuwa Tanzia.
 
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
2. Kwamba ameitangaza Tanzania? Kivipi? Kazi gani ya Kanumba inaitangaza Tanzania Yetu? Kazi za kanumba zilikuwa zinaportray utamaduni gani wa kitanzania? au ni mafundisho gani ya msingi yanapatikana kwenye kazi zake?
3. Nani anapinga kwamba, huyu alikuwa ni mmoja wa watanzania ambao hakuwa akilipa kodi wakati alikuwa anajiingizia mapesa mengi kwa shughuli zake? Kwa hili, Rais wa nchi alistahili kuahirisha safari zake za kikazi sababu ya msiba wake?

Ombwe la hekima limetapakaa nchi nzima.

we humjui raisi wako nini kajui hapo ndo sehem mwafaka wa mauzo teh teh teh
 
Back
Top Bottom