support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 152
- 14
for sure this forum is for great thinkers.R.I.P kanumba
Si nilisikia EL ana ngeu, aliyopata Arumeru mashariki, labda ndo maana kajipumzisha.Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii
RIP Kanumba
Rt Rev Masa
Miafrika ndivo tulivyo, source: NN
Kwamba unamlinganisha princess Diana UK ni sawa na Kanumba TZ?
C.R.A.P At its best! Manina!
Unaweza kunisaidia kidogo even if my dead body itazikwa na bara zima la Afrika kuna nafuu yoyote mbele za Mungu juu ya dhambi zangu?anamaanisha ungetamani uzikwe kwa heshima kama Steve,lakini kinachokuumiza haitakaa itokee.
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani. Lowassa nadhani hakuhangaika na Huu msiba wa kisanii
RIP Kanumba
Rt Rev Masa
Unaweza kunisaidia kidogo even if my dead body itazikwa na bara zima la Afrika kuna nafuu yoyote mbele za Mungu juu ya dhambi zangu?
Umefikia uwezo wako wa mwisho kufikiri, huna dila wala mwelekeo ufalme wa mbinguni hauingiliki kwa idadi ya watakao kulilia wala watakaohudhulia msiba wako, bali matendo yako tu. kaeni endeleeni kudanganyana na endeleeni na uzinzi if u think it will help you.
Duuh!! Hivi kwa mfano Mungu (Yehova) angewafumbua macho wote mliokuwepo Leaders awaoneshe huko aliko, SIPATI PICHA!!
mkuu, labda alikuwa anajaribu bahati yake tena ya kuwapatanisha sugu na wale jamaa wa mawingu redioOna Waziri Nchimbi ameshinda msibani siku Mbili jamani wendawazimu Huu!
Kila kitu kimesimama! Barabarani hakupitiki, watu hawafanyi kazi kisa kifo cha Steve Kanumba. Ninaangalia TV watu wengi wapo leaders kumzika SK! Hilo taifa ni la wajinga Kama viongozi wake! Watu wote Hawa walio leaders hawazalishi kitu! Taifa maskini na wananchi wake maskini vichwani...
Asante Masanilo kwa kujitofautisha nao, niko pamoja na wewe.
Mimi naomba niulize maswali mawili tu,
1. Kwamba Amekuza Tasnia ya Filamu Tanzania, kivipi?
MJOMBA USIANGAIKE SANA HIYO NDIO NGUVU YA FREEMASON.
Mh hii ndiyo mila yetu mkuu kusherehekea pamoja na kusikitika pamoja
Kanumba wa agreat man Masa!
mbona Mr.Ebbo kazikwa na wakulima na wafugaji wenzake,hivi huyu Kanumba na mzee Kipara nani alikuwa na mchango mkubwa,au wanatizama muonekano wa mtu?hii ni kali kwani hata vipindi vya Radio mbalimbali vimekuwa adjusted kwa hii kitu. Sijui akifa na msanii mwingine ghafla itakuwaje?
MICHAEL JACKSON alizikwa na watu wa pande zt duniani
wewe ni miongoni mwa watanzania wajinga sana..Kanumba anakusaidia nini? unaacha kwenda kufanya kazi upate kuisaidia familia yako unaenda eti kuangalia kanumba anazikwa kama sio utaahira ni nini? bora angekufa kifo cha maana..kafa kwenye uzinifu..to hell with him...kwanza natashangaa sana kama padri atakuja kuendesha misa yake..anapaswa azikwe kama bata tu aliyegongwa na bodaboda
Taratibu za dini yake zinaruhusu ..kufanya show..kwenye msiba; yaani watengeneza t-shirt, bendi, MC..
Nafikiri mazishi yametoa ajira kwa wajasiriamali..
The whole process is hoax kwa mhusika; sana sana ingekuwa upande wa pili siku ya pili sala ya saba kila kitu kwishney