wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 851
- 849
Wewe umetengeneza nini? Acha undumilakuwili ndugu.Nilikua nawafikishia ujumbe wasomi wa jf ambao tangu uhuru hawajafanikiwa kutengeneza hata njiti ya kiberiti
Wewe umetengeneza nini? Acha undumilakuwili ndugu.Nilikua nawafikishia ujumbe wasomi wa jf ambao tangu uhuru hawajafanikiwa kutengeneza hata njiti ya kiberiti
Duka ni rasmi kisheria na analipa kodiKwanin wenye maduka wanabaki mjini huo ni ubaguz bna
Kwasababu wanao kula ndizi wapo dar pekee ausio. Mawazo ya chakubanga hayo.Sawa naomba tumuongelee mama ambae anauza ndizi umpeleke mbali namji atauza kwel?
Muuza ndizi ambae hajajenga kibanda sidhani kama kuna mtu kamzuia..wapo wengi tuSawa naomba tumuongelee mama ambae anauza ndizi umpeleke mbali namji atauza kwel?
Wewe utawekwa kwenye jakuzi sio?Ipo siku utawekwa kwenye friji kama soda ndio utajua kumbe ujui
Acha unafki kwanini hukujitokeza wakat wa magu! Au ulikua umejificha uvunguniYaani wewe nilikima lisilo jitambua kwahiyo sisi wa peta kwa miguu tupite wapi machinga wameziba mpaka njia za wapita kwa miguu kila kona kila chocho bora mpangwe tu ili mji uwe na mipango sio kila sehemu pakifanyia biashara, mfano wewe nyumbani kwako una weza ukapikia kila sehemu..? au una weza uka jisaidia kila sehemu lazima uwe na mipango, utajisaidia chooni utapika jikoni, utalala chumbani utapinzika sebuleni n.k tatizo lenu kila kitu kinacho senwa na serikali kwa maslahi ya wote ninyi watu wachache mnaona mnaonewa basi sawa mbishane na serikali basi tuone.
Wanaoishi home utawajua tu.Niko tayari kutoa mchango kwa Serikali endapo itaanzisha Machinga removal Fund, ya kuwalipa mgambo na SumaJKT ili wawatwange marungu vizuri.
Next iwe kuwapanga Bodaboda kwenye vituo maaalum ikiwa ni pamoja na Utambuzi wao
Wamachinga wapo kwa context ya wafanyabiashara wadogo wadogo (mfano UK) lakini wamepangwa vizuri na maeneo maalumu, huwezi kuona anarandisha mitaani.Ulaya ipi kuna wa machinga ?
UK sehemu gani?Binafsi huwa naona maduka tu. Sema siku ya soko la wazi ambalo huwa almost mara mbili kwa wiki ndo unakuta meza zimepangwa napo ni asubuhi mpaka saa nane. Wanafunga na magari ya manspaa yanafanya usafi.Wamachinga wapo kwa context ya wafanyabiashara wadogo wadogo (mfano UK) lakini wamepangwa vizuri na maeneo maalumu, huwezi kuona anarandisha mitaani.
UK sehemu gani?Binafsi huwa naona maduka tu. Sema siku ya soko la wazi ambalo huwa almost mara mbili kwa wiki ndo unakuta meza zimepangwa napo ni asubuhi mpaka saa nane. Wanafunga na magari ya manspaa yanafanya usafi.
Ndiyo maana nilikwambia kwa context ya wafanya biashara wadogo wadogo. Mji niliyokuwepo mimi kwenye miaka ya tisini kulikuwa na open market siku sita kwa wiki. Hapo ulikuwa unakuta wahindi kibao na vibiashara vyao vidogo vidogo vimepangwa vizuri. Walikuwa wanafanya kwa mpangilio wa manispaa lakini hawa ukiangalia ni sawa na hawa machinga wa kwetu ila wao wamepangwa vizuri.UK sehemu gani?Binafsi huwa naona maduka tu. Sema siku ya soko la wazi ambalo huwa almost mara mbili kwa wiki ndo unakuta meza zimepangwa napo ni asubuhi mpaka saa nane. Wanafunga na magari ya manspaa yanafanya usafi.
Miaka ya tisini na hii ni 2021 how comes Mama yetu? kifupi wafuate nini serikali inataka OverNdiyo maana nilikwambia kwa context ya wafanya biashara wadogo wadogo. Mji niliyokuwepo mimi kwenye miaka ya tisini kulikuwa na open market siku sita kwa wiki. Hapo ulikuwa unakuta wahindi kibao na vibiashara vyao vidogo vidogo vimepangwa vizuri. Walikuwa wanafanya kwa mpangilio wa manispaa lakini hawa ukiangalia ni sawa na hawa machinga wa kwetu ila wao wamepangwa vizuri.
Kama Kampala frem moja ya duka inamilikiwa na watu hata 10 Ni wao tu ba bidhaa zao Sasa hapa Kila mmoja anataka akae barabaraniWamachinga hawajafukuzwa,ila wanatakiwa wafanyebiashara kwa kufuata sheria na kanuni,wakafanye biashara maeneo maalumu,kwenye masoko.Na kama wapo wenye uwezo,wawe kikundi kama wanne au wangapi,wachukuwe Frem,wawe wanalipa kodi stahiki.
Hata viwanda,makampuni mengi sio mali ya mtu mmoja,wapo walioshirikiana kuanzisha viwanda ,wapo Wana hisa,.na wanafanyabiashara kwa kufuata sheria na kanuni.
Wapo wamachinga Wana mitaji ya mpaka milioni kumi,wanamiliki majumba,magari,na hawataki kufunguwa Frem. Wakati yupo mtu ana mtaji wa milioni moja,na kafunguwa duka katika Frem,mtaani ya kuuza nafaka.
Sent using Jamii Forums mobile app