Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Mimeona nigga nimeshituka. Kumbe sisi watu weusi ndio timeasisi uchafuzi wa miji huko ulaya kisha utaratibu ukaigwa Africa kwa mwendokasi.Tunakosea Sana hawa Kuwaita machinga tuwaite Tu wafanya biashara wenye mtaji mdogo.
Machinga ni neno lililotokana na neno la kiingereza hasa kutoka marekani wakiitwa matching nigga ( machinga)
Maana yake ni wafanya biashara wanaotembeza
Sasa anayejenga kibanda siyo machinga maana hatembezi uisipokuwa wateja wanamkuta hapo
Hawa ni wafanya biashara wadogo