The_bushman
Senior Member
- Jun 29, 2018
- 114
- 105
N kuwa makini mkuu ,iktokea kiberit knavujisha gas n hatar sana kinaweza kulipukaVipi wakuu kwa sisi tunaotumiz majiko ya gesi uku tukiwashia kiberiti cha gesi hatuko kwenye risk kubwa kweli?
N kuwa makini mkuu ,iktokea kiberit knavujisha gas n hatar sana kinaweza kulipukaVipi wakuu kwa sisi tunaotumiz majiko ya gesi uku tukiwashia kiberiti cha gesi hatuko kwenye risk kubwa kweli?
Ni bahati kubwa tungi la gesi halikupaa kama rocket la kivita.
Wakuu nilikuwa napita kichochoro fulani hivi, Kuna mama alikuwa kwenye maandalizi ya kupika
ghafla nimeshuhudia moto mkubwa kutoka kwenye Lile jiko, Siku wahi kupiga picha
zaidi ya kukimbia na kumuokoa mtoto mdogo ambaye alikuwa karibu na jiko hilo.
Nimejaribu kuuliza nini kimesababisha tukio lile yule mama anatetemeka na kulia tu.
Sasa najiuliza tu, Lile jiko lingekuwa ndani nini kingetokea? Hivi vitu ni vizuri lakini
ni muhimu kuwa makini navyo.
View attachment 1183587
Hivi ndo tunavyofanya wengi mkuu, wengine tumeanza kumiliki hayo majiko kwa kununuakosa jingne ni ile unaanza kwa kufungua gesi half ndio unapiga kiberiti.
Aloo acha hio tabia, siku utakuja kuungua mpk tumboni,
it seems imposible untill is done.
Hata mimi naishi hivyo dah anatutisha huyu mwanaChief unavyosema hivyo unanitisha kinoma mimi ninaekaa gheto chumba kimoja na jiko liko pembeni ya kitanda tu..
Apumzike kwa amani mshkaji wako
Usimsingizie mama wa watu wala kichochoro..
Huyo ni wewe mwenyewe umelipukiwa na ulikuwa unapika nje.
hapana mkuuPole ni yule Dada wa Kiarabu wa Kibamba
wakati mwingine unaweza chukua kitu ka shuka ukalitia kwenye maji ukaja ukaufunika mtungi tena unaanza kuwa unajizuia na moto ukiwa unausogelea kwakutumia hilo shuka hasa sehemu za mbeleaisee kuna siku nilimkuta mzee mmoja anapigana na huu moto wa aina hii tena mtungi mkubwa.
kisa hakifahamiki,ila mpaka nafika mimi pale,ile pipe imeungua yote moto umeshika kwenye koki unafoka balaa watu wanauzima na mchanga,kwa vile shepu ya mtungi haisapoti hilo zoezi ikawa kazi bure.sasa hofu yangu ikawa ni kwenye mtungi kuburst sababu ya mtungi kupata moto sana,nikaumiza kichwa nikaona hapa ili kuuweza kwanza wacha niupige maji.nikachota maji kiasi flani nikafanya kama nauchapa na maji ule mtungi mdomoni kwa nguvu sana,ukazimika.sababu koki imeungua bado inakawa inaruhusu gesi kutoka.nikaipoza na maji kisha nkaitoa hapo zoezi likawa limefanikiwa.
haya mavitu wameyatengeza vizuri sana tatizo liko kwa watumiaji,tunakosa umakini tu na kufanya mazoea.mfano umemaliza kupika,unatakiwa ufunge(chomoa)koki ili hata ikitokea ajali ya moto,gesi isiwe sehemu ya kuikuza ajali hiyo.