Nimeshtushwa na flyover mataa ya Chang'ombe

mtozatozo

JF-Expert Member
Sep 25, 2021
459
412
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya Kawawa/Chang'ombe na Nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mradi huo.

Mimi nilikuwa miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikati kuna kama kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katikati ya barabara imepinda, hivi nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuwepo ofisini mngefanya haya madudu?

==========

Uliza kwanza! Iliyowekwa kitaalam inaitwa Primer coat! Hiyo siyo lami Bali ni gundi ya kushikanisha kokoto zilizopo!

Wameaiacha hivyo kwasababu mradi haujakamilika, mkandarasi kakubali kuruhusu magari ili kupunguza foleni ingawa pia kapewa bonus katika ujenzi wa project hiyo! Fairly play!

Hivyo akikaribia kumaliza mradi atamalizia kuweka lami kurahisisha traffic flow!
Kwasasa tunywe mtori nyama zinakuja baadae: foleni ilikuwa kubwa mno!
 
Mh Waziri alisema tuanze kupita kupunguza Jam hasa rush hours evening na morning then hizo issue za kubandika lami na kuweka taa zitafuata.. hapo ujenzi bado unaendelea mkandarasi bado yupo hapo wala usiwe na hofu!
 
Waswahili bana tabu sana!!
Project bado kabisa haijakamilika, hapo ni uungwana tu umetumika.
Contractor makini angekataa!!
Ni sawa na ujenzi wa nyumba, unamaliza kwanza chumba na sebule, halafu nyumba inamaliziwa polepole ukiwa humohumo ndani!(kwa wale tuliojenga kimasikini)
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya kawawa/chang'ombe na nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mrad huo.

Mimi nilikua miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikat Kuna km kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katkat ya barabara imepinda,hv nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuepo ofisini mngefanya haya madudu?
Sema kile kituta jau kweli, bora wakiondoe maana sio poa.
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya kawawa/chang'ombe na nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mrad huo.

Mimi nilikua miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikat Kuna km kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katkat ya barabara imepinda,hv nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuepo ofisini mngefanya haya madudu?
Umeanza vizuuri, umeharibu sentesi ya mwisho.
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya kawawa/chang'ombe na nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mrad huo.

Mimi nilikua miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikat Kuna km kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katkat ya barabara imepinda,hv nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuepo ofisini mngefanya haya madudu?
Wajenzi walishtukizwa na waziri kuwa wajiandae haraka anataka kufanya igizo la uzinduzi, subiri kazi ya ujenzi bado inaendelea.
 
Ungesoma maelezo ya ufunguzi, waziri amesema lami laini (Finishing) itaweka ktk hatua za baadae wakati daraja limekamilika ili kuunganisha na barabara zitakazoingia na kutoka.
 
Uliza kwanza! Iliyowekwa kitaalam inaitwa Primer coat! Hiyo siyo lami Bali ni gundi ya kushikanisha kokoto zilizopo!

Wameaiacha hivyo kwasababu mradi haujakamilika, mkandarasi kakubali kuruhusu magari ili kupunguza foleni ingawa pia kapewa bonus katika ujenzi wa project hiyo! Fairly play!

Hivyo akikaribia kumaliza mradi atamalizia kuweka lami kurahisisha traffic flow!
Kwasasa tunywe mtori nyama zinakuja baadae: foleni ilikuwa kubwa mno!
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya kawawa/chang'ombe na nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mrad huo.

Mimi nilikua miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikat Kuna km kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katkat ya barabara imepinda,hv nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuepo ofisini mngefanya haya madudu?
Kuna mwamba aliwahi kuimba;
..Binadamu hatosheki...
.....Hata ukimpa Nini...
.....…Milele hatoridhikaaa.....
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya kawawa/chang'ombe na nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mrad huo.

Mimi nilikua miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikat Kuna km kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katkat ya barabara imepinda,hv nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuepo ofisini mngefanya haya madudu?
Acha upumbavu wako, Magufuli anajua nini kwenye engineering ya lami? Si ni layman tuu kama wewe
 
Uliza kwanza! Iliyowekwa kitaalam inaitwa Primer coat! Hiyo siyo lami Bali ni gundi ya kushikanisha kokoto zilizopo!

Wameaiacha hivyo kwasababu mradi haujakamilika, mkandarasi kakubali kuruhusu magari ili kupunguza foleni ingawa pia kapewa bonus katika ujenzi wa project hiyo! Fairly play!

Hivyo akikaribia kumaliza mradi atamalizia kuweka lami kurahisisha traffic flow!
Kwasasa tunywe mtori nyama zinakuja baadae: foleni ilikuwa kubwa mno!
Hao chapombe ndio huwa wakiona surface dressing wakalinganisha na super pave asphalt concrete huwa wanaropoka tuu ooh imejengwa chini ya kiwango..

Rubbish zao ,mitanzania mingi ni mitakataka kichwani.
 
Mm nilijisemea moyoni mwangu kwamba hii kitu bado hawajakamilisha bali wameamua kupunguza foleni.
Lakini pia nikajiuliza kwamba kama ni wazo langu la juu hapo ni kweli iweje hadi mistari imechorwa

Hii fly over ni kituko.
 
Mh Waziri alisema tuanze kupita kupunguza Jam hasa rush hours evening na morning then hizo issue za kubandika lami na kuweka taa zitafuata.. hapo ujenzi bado unaendelea mkandarasi bado yupo hapo wala usiwe na hofu!

Afadhali umenena
 
Tarehe 30 May 2022 mida ya saa nne asubuhi ulifanyika uzinduzi mdogo wa barabara ya juu kwenye makutano ya Kawawa/Chang'ombe na Nyerere road.

Kimsingi ni daraja moja ndo limefunguliwa Kati ya mawili ya mradi huo.

Mimi nilikuwa miongoni mwa watumiaji wa mwanzoni kabisa wa daraja Hilo.

Kilichonishtua ni kiwango duni Cha lami ilobandikwa hapo...ukiiangalia hata kwa macho yasio ya kitaalamu lami hiyo haifananui kuwekwa hapo, barabara haijatulia huko juu, ukifika juu karibu na katikati kuna kama kituta, lazima ushtuke.

Ukikaribia mwisho unashtushwa Tena na kituta. Yaani imagine Hadi mistari ile ya katikati ya barabara imepinda, hivi nyie watu mko serious kweli?

Magufuli angekuwepo ofisini mngefanya haya madudu?

==========
Sasa kama mkandarasi anaitwa Mayanga unategemea nini
 
Back
Top Bottom