Nimeshtuka sana baada ya kusikia hii

Nakumbuka chuoni kuna usemi tulikua tukiutumia 'kupiga pasi ndefu' ina maana unaweza kushtua asubuhi then mpaka jioni! Au ukavuta muda mpaka saa sita ukishakula unasubiri jioni ugonge chai na ndazi mbili ulale!
Kwa upande wa mabinti,nakumbuka walikua wanakuja canteen wanazuga unasikia 'najisikia nimeshiba' halafu wanashare sahani moja watu watatu!

Hali ni mbaya wadau,tofauti na vile tunavyoweza kufikiri,ndio maana wale ambao sio wavumilivu wanagegedwa kiulaiini! Tukumbuke njaa haina baunsa!
 
Kwa mtazamo wangu finyu hapa inabidi wazazi wahamasishwe katika hili tatizo, kwani limekuwa ni janga la kitaifa na siyo kwa wadada peke yao.

Mwanachuo / mwanafunzi ili aweze kufanikiwa inambidi asiwe na mawazo yaani matatizo madogo madogo asiwe nayo akili yake aiweke katika masomo tu na siyo kufikiria leo atakula nini au atapata wapi pesa ya mahitaji muhimu kwake.

Mzazi anapotoa pesa ya ada ni jukumu lake kuhakikisha pia kijana anasoma katika mazingira mazuri, kwani anapoharibikiwa ni hasara kwa mzazi asilimia kubwa kuliko kwa serikali.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Ni kweli mdau, mzazi ana jukumu ila wakati mwingine na wanafunzi wanahitajika kujua hali halisi ya wazazi wao, sema hao wachache kwa kuwa ni vimwana na wana uwezo wa kuweka mitego yao ndio hivyo uvumilivu unawashinda wanajiingiza kwenye hiyo maneno (mie nina amini ni wachache na hao ni tabia yao)

Kama ingekuwa issue ni shida basi na wavulana tungewaona wangekuwa wanashiriki kwenye matukio ya wizi, kinachotokea ni kwamba wanawake ni watu wa kujipenda kiasilia ila kuna wengine wanataka waende sambamba na wenzao ili nao waonekane wanakwenda na fashion
 
Vyuo vikuu almost vyote tz ,mambo ya ufuska kwa sasa imekuwa kama sehemu ya sylubus.fanyeni mabinti wng wakihitimu wanalivyo na hamu kubwa kwnda chuo,si kwa ajili ya kupata maarifa,wanaishia kununua nguo{takataka}hata wenye malezi mazuri wakifika chuo basi ndo ivo tena."AMA KWELI KANGA HATAGI UTUMWANI"
 
Na Baadhi ya wavulana sasaaa! Wamekakaa mabinti,wamejilegezalegeza,visuruali wanavyovaa,vyembamba kama chupa ya soda.wanavyotembeaa sasaa!ETI Tz uti wa mgongo ni kilimo"nani wa kuwaza kilimo kizazi hiki cha wasomi wa ivi.poleni wenye maofisi yenu. Subirini wasomi wakuajiri
 
dats a criminal offense naomba uwatake radhi dada na mama zako.
MUOGOPENI MUNGU AMBAYE SIFA YAKE YA KWANZA NI MWEPESI WA KUSAMEHE NEA YA PILI NI MKALI WA KUADIBU
 
dats a criminal offense naomba uwatake radhi dada na mama zako.
MUOGOPENI MUNGU AMBAYE SIFA YAKE YA KWANZA NI MWEPESI WA KUSAMEHE NEA YA PILI NI MKALI WA KUADIBU
sio KUADIBU ni KUADHIBU!!
 
Kuwa wanafunzi wengi wa chuo ukimhakikishia mlo mmoja kwa siku unamla uroda... Hii iko hivi tufanye mlo ni 3,000. So ni sawa umemla uroda kwa tsh 3,000 Hi ni new version ya uwanja wa fisi.

Nimeashtuka sana kwa kweli.

i could have believed if you had an evidence that U tried to seduce one among them to have sex with then she agreed but since it is just a hear say i don't believe it
 
Kwa mtazamo wangu finyu hapa inabidi wazazi wahamasishwe katika hili tatizo, kwani limekuwa ni janga la kitaifa na siyo kwa wadada peke yao.

Mwanachuo / mwanafunzi ili aweze kufanikiwa inambidi asiwe na mawazo yaani matatizo madogo madogo asiwe nayo akili yake aiweke katika masomo tu na siyo kufikiria leo atakula nini au atapata wapi pesa ya mahitaji muhimu kwake.

Mzazi anapotoa pesa ya ada ni jukumu lake kuhakikisha pia kijana anasoma katika mazingira mazuri, kwani anapoharibikiwa ni hasara kwa mzazi asilimia kubwa kuliko kwa serikali.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Hapo mzee uko perfect, kwa mtu aliyepitia chuo au hata kusoma shule ya bweni hawezi kubisha hilo.
Halafu shule kulipiwa ada tu sio mwisho wa matatizo, kuna matumizi mengi madogomadogo ya kishuleshule kama huna hela ya kutosha unakwama kabisa, kama fedha za mikopo zinacheleweshwa kwa mfano unaweza kukosa hata hela ya kutolea copy unless ni free, bado ujala, n.k
 
i could have believed if you had an evidence that U tried to seduce one among them to have sex with then she agreed but since it is just a hear say i don't believe it

Wenzako wanateseka. Swala la kubishana hapa hakuna, hilo halina ubishi, tulisikia hizo habari tukaenda kutest tukakubaliwa kirahisirahisi, it is so sad.
Hapa tusifanye sehemu ya ubishi, hili tatizo lipo, tukubali kuwa lipo ili tutafute ufumbuzi, tutafute wa kumuwajibisha, kama ni sisi au serikali tujue moja.
Na baadhi ya wanachuo wa kike wanafanya hivyo sio kwa kupenda ila wanaona ndio njia isiyo na madhara kupata hizo pesa. Hata hao wavulana wanaopiga kelele kama wangezaliwa wanawake ukute wangefanya mara dufu ya hao.
Kusoma ukiwa na ukwasi wa fedha za matumizi ni bora usikie kwa watu na usiombe uwe muhusika.
 
Ukweli mtupu that why kila cku unasikia wakienda kwenye mabaa au kumbi za burudani kujiuza,,,wengi wao ni MALAYA!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Na Baadhi ya wavulana sasaaa! Wamekakaa mabinti,wamejilegezalegeza,visuruali wanavyovaa,vyembamba kama chupa ya soda.wanavyotembeaa sasaa!ETI Tz uti wa mgongo ni kilimo"nani wa kuwaza kilimo kizazi hiki cha wasomi wa ivi.poleni wenye maofisi yenu. Subirini wasomi wakuajiri

Mkuu labda sikuelewi, ina maana wapo pia maboflo huko? kama ndiyo basi tumekwisha!!!
 
Na Baadhi ya wavulana sasaaa! Wamekakaa mabinti,wamejilegezalegeza,visuruali wanavyovaa,vyembamba kama chupa ya soda.wanavyotembeaa sasaa!ETI Tz uti wa mgongo ni kilimo"nani wa kuwaza kilimo kizazi hiki cha wasomi wa ivi.poleni wenye maofisi yenu. Subirini wasomi wakuajiri

15 years back ukichaguliwa kuingia chuo ulikuwa unachukuliwa ni mtu wa busara kwa kuhusishwa katika mambo ya msingi yanayotokea mtaani na kwenye jamii kwa ujumla, ni kweli kila kizazi kina enzi yake lakini inasikitisha kwa jinsi thamani ya mwanachuo ilivyoshuka sasa hivi tofauti na miaka michache iliyopita ambayo ukiwa mwanachuo tu kila kijana mtaani anaku-admire na kama ni binti huwezi kumwona mwanaume ambae hana background nzuri kielimu na kimaisha akikusogelea kutaka kukutokea (kwa sasa hivi wamejitahidi kuondoa gap kati ya waliosoma na wasiosoma kwa kujichanganya ila wamezidi mpaka wanafanya mambo mengine ambayo yamepitiliza tofauti na jamii inavyowachukulia)

Ila hawa madogo tusiwalaumu sana kwani jamii ambayo ni sisi ndio tumewajenga hivyo kwa kuwa hawa wote wana walezi na wazazi na mavazi hayo wanayavaa even uraiani. Kipindi kilichopita sio kwamba ufuska haukuwepo, ulikuwepo ila katika kiwango cha waliokuwa wanafanya walikuwa wana staha na ilikuwa si kwa mtu yeyote kwani walikuwa wapo selective.

Kizazi hiki chenyewe kimevuka mipaka kiasi cha kuweka kigezo kimoja tu cha uwezo wa kuwa fedha na si unajua mtu ukiwa SHULELESS ukapata mrembo wa chuo matangazo yake mpaka basi
 
Hapo mzee uko perfect, kwa mtu aliyepitia chuo au hata kusoma shule ya bweni hawezi kubisha hilo.
Halafu shule kulipiwa ada tu sio mwisho wa matatizo, kuna matumizi mengi madogomadogo ya kishuleshule kama huna hela ya kutosha unakwama kabisa, kama fedha za mikopo zinacheleweshwa kwa mfano unaweza kukosa hata hela ya kutolea copy unless ni free, bado ujala, n.k

Hapo sawa kabisa ila na wanafunzi wa siku hizi nao uvumilivu ni sifuri? pia wengi wanafanya hivyo unadhani ni for food basi? wengi ni kwa ajili ya kula bata na kwenda na fashion ikiwa pamoja na kuwa na pamba za nguvu na room yake ionekane imesheheni. Ingekuwa ni masuala ya wanafanya kwa ajili ya kujikimu sawa tungesema na wazazi nao wajitutumue though kuna wazazi wengine bado wana ile mentality ya "SIE TULIKUWA HIVI AU VILE" na kushindwa kuwapa mahitaji ya msingi hasa mtoto wa kike angalau ule mwezi wa kwanza ajisogeze.

Tatizo lingine wanafunzi asilimia kubwa wa sasa wamesoma day kipindi cha sekondari na hata kama wamesoma boarding ni zile za "Dady and Mumy ambazo kila baada ya mwezi kuna visiting day hata kama shule ipo Mbeya mzazi atatoka Dar kuja kumwona mwanae" hivyo wakifika chuo ndio sehemu ya kwanza kabisa ku-experience maisha yakivyakovyako na wengine ndio inakuwa opportunity ya kula bata. Shule za bweni kiukweli zilikuwa zina mafunzo kwa wadada na wakaka na wengi waliopitia shule zetu zile za kunywa uji na lile liugali la maharage kuna vitu vingi walijifunza na ndio maana wengi waliopita walikuwa wakienda chuo ilikuwa haiwasumbui sana (wakati wa kwenda shule ilikuwa unajengwa kisaikolojia kwa kuepuka tamaa zisizo za msingi alafu unapewa chako unasepa though wakati mwingine kinakuwa kidogo uzuri ukifika kule unakutana na wenzako mnajifanya wagumu kumbe hamna kitu)
 
Back
Top Bottom