sisi wenyewe tumeyataka hayo kwa kuzidharau njia za Bwana.
1. kufanya mapenzi kinyume na maumbile hata wanyama wenyewe hawajawahi kujaribu, angalia sisi tunavyoshabikia!
2. kutumia midomo, mikono/vidole, mafuta, sabuni, madawa ya kemikali kama viagra nk katika kuanya mapenzi tunaona sawa tu na tunashangilia! jana alilalalmika kijana wa watu kuwa kashindwa kutumia mdomo/ulimi kufanyia mapenzi na matokeo yake alinyimwa unyumba na mkewe wa ndoa, alichekwa hapa na kuitwa mshamba!
3. mabikira mnawazomea na kuwaona wapumbavu kujinyima ngono hadi wafikie ndoa
4. kutoa mimba siku hizi ni kama kutumbua chunusi, tunawaona hao waliowaunguza wanao lakini wakazibakisha roho zao hai kuwa waovu kuliko wale wanaotoa mimba na kuangamiza roho hai zisizo na hatia
5. neno la Mungu hamtaki kusikia, mnataka njia za mkato za mambo ya rohoni
6. na maasi mengine mengi tunayoyajua na tusiyoyajua.
niambieni ni mnyama gani hufanya hayp yote niliyotaja. sasa hayo ni symptoms tu lakini maradhi ya mwanadamu yamo moyoni na wengi wetu tunaolaani hapa tunaugua tena wengine wako hatua mbaya zaidi ya hao wazazi
Neema ya Mungu yatutosha!
wapendwa tumtumaini Bwana pekee kwa mioyo yetu yote,
tena tumkiri Yeye katika njia zetu kwa maana ameahidi kuwa hatatupungukia,
kwa jinsi ileile alivyokuwa na Musa, atakuwa pia pamoja nasii