V
- Joined
- Sep 5, 2011
- Messages
- 64
- Likes
- 3
- Points
- 15
V
vunga g
Member
Joined
Sep 5, 2011



Habari wa jf
Nina mpenzi wangu wa kike namuamin na sijawah kuhis kuwa ananicheat coz npo nae muda mrefu sijaona dalili za kuwa na zaidi yangu.
Sasa majuzi akiwa safarini baada kumtumia msg ya kumjulia hali asubuh hatuku chat tena gafla mida ya jioni napata msg kutoka kwake inasema hivi"baby fasta,npo serious katika hili.NAKUPENDA"
Nimemuuliza hio msg ulikuwa unamtumia nani?anasema ni yangu,nikamuuliza tena una maanisha nin anakaa kimya
Naombeni ushauri kama wewe ndo umekutana na hiyo hali kwanza ungefikiria nin?Na ungefanya maamuzi gan?
Nina mpenzi wangu wa kike namuamin na sijawah kuhis kuwa ananicheat coz npo nae muda mrefu sijaona dalili za kuwa na zaidi yangu.
Sasa majuzi akiwa safarini baada kumtumia msg ya kumjulia hali asubuh hatuku chat tena gafla mida ya jioni napata msg kutoka kwake inasema hivi"baby fasta,npo serious katika hili.NAKUPENDA"
Nimemuuliza hio msg ulikuwa unamtumia nani?anasema ni yangu,nikamuuliza tena una maanisha nin anakaa kimya
Naombeni ushauri kama wewe ndo umekutana na hiyo hali kwanza ungefikiria nin?Na ungefanya maamuzi gan?