fasta? mnhhh...
kuna mtu alikuwa anaitwa apewe mambo lol
Hamna...maana kasema baby fasta ni......katika maandishi haionyeshi kama kuna mtu anapewa mambo.Mahusiano yana mambo....duh....haaaa..eti baby fasta
fasta? mnhhh...
kuna mtu alikuwa anaitwa apewe mambo lol
fasta? mnhhh...
kuna mtu alikuwa anaitwa apewe mambo lol
Pole ninawakanya hamtaki kusikia, umeona ushauri wa wengi upo negative! Ukiendekeza ushauri wa MMU hutakaa uwe na gf au uoe maana hutakiwi kumchunguza bata anakula nini.mkuu umetoka usingizin nin?Pole
lazima kuna siri ktk hiyo sms fanya uchunguzi
Hamna...maana kasema baby fasta ni......katika maandishi haionyeshi kama kuna mtu anapewa mambo.Mahusiano yana mambo....duh....haaaa..eti baby fasta
We bado mgen wamapenz, we ulijua uko peke yako?
Kabla sijatoa ushauri,nataka kujua unatoka ukoo ule wanaojipiga risasi?