Wewe shida yako ni pesa au ndoa?Mtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweliView attachment 2676117
Tukaendelea
View attachment 2676118
View attachment 2676120
View attachment 2676120
View attachment 2676122
Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the way alivokuwa anajibu maswali niliyokuwa namuuliza, naona kabisa huyu bubie yupo kwenye huu mtandao wa madawa, nimeamua kuachana nae.
Kitu kilichonishangaza anaongea kwa kujiamini sana, kwamba mama yake kakamatwa na mzigo mambo yote yashawekwa sawa anatoka, serikqli imekuwa laini kiasi hiki? Binafsi namuomba mungu kaamua kuyaweka haya mambo wazi mapema, Angeweza hata kuniletea shida wakati sijui lolote kuhusu haya mambo.
Atamtoa aliyemuingiza huko, huo upumbavu Mimi sitaki. Familia imenisomesha ikiwa na malengo na mimi na bado inanitegemea huo ujinga atamalizana nao kama alivyoanza naoIla uhu ni upumbavu wewe mwanaume kama unanpenda kweli unashindwa kumtoa uko basi ulikuwa umpendi ulikuwa na tamaa zako mwanaume sifa yake kuu ni msimamo
Sasa ukweli ni kwamba ukumpendaAtamtoa aliyemuingiza huko, huo upumbavu Mimi sitaki. Familia imenisomesha ikiwa na malengo na mimi na bado inanitegemea huo ujinga atamalizana nao kama alivyoanza nao
Hela nilizo nazo zinanitosha mkuu, sihitaji madili haramu ili nipate pesa za misukosukoNipe namba yake pm. Huwa napenda wadada Kama Hawa risk takers na sio nyoronyoro mkuu. Please nipe namba yake hata milioni nakupa.huu Ni mtaji kwa faida ya wanangu. Mana sio wote wenye roho hii. Wasiogopa janga ama wasio na hofu. I need fearless people
Hawa wote watoto tuOke okee
Nataman kusema neno hapa ila ngoja nijikaze tu ππ
that manziNaomba namba ake awe dada angu wa hiari
Ukitumia Infinix, ni ruhusa kuuza madawa?Unatumia infinix then unakwepa madili!!
ππππππ
Xiaomi hiyoUnatumia infinix then unakwepa madili!!
Kwa kweliHawa wote watoto tu