Nimeshachelewa, sipo nae tena na ametangulia mbele za haki..!!

Nimeshachelewa, sipo nae tena na ametangulia mbele za haki..!!

Ushimen

Platinum Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
44,101
Reaction score
110,823
1st year

Nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu, niliyekuwa nikimuita " Bestfriend" nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu , lakini yeye hakuwa akitamani hilo na n ilikuwa nikilitambua hilo .
Baada ya leacture, alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita .baada ya kumpa akasema " asante " na kushikana mikono na mimi .I wanted to tell her , i want her to know that i don ' t want us to be just friends , i love her but i ' m just to shy , and i don ' t know why.

2nd year

Simu yangu iliita , kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart , she asked me to come over because she didn ' t want to be alone , kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji , as i sat next to her on the sofa , nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu .Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida , hivyo akaamua kwenda kulala , before akaniangalia na kuniambia " asante " na kunipa tabasamu tamu, i want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

3rd year

Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia " Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku " kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku - date nae basi tutaenda pamoja just as " bestfriends " .hivyo tukaenda .
katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa , nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake , she saw me looking to her she smiled at me , i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo , then she said to me " nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana" and she gave me a sweet smile. I want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Graduation Day

Siku , wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo , akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile , i wanted her to be mine , but she didn ' t notice me like that , and i knew it.
kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao , alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali , na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia " you are my bestfriend asante sana " i want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Miaka michache baadae

Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa, nilimuangalia akisema " ndiyo nakubali " and drive off to new life , kaolewa na mwanaume mwingine, i wanted her to be mine , but she didn ' t see me like that , and i knew it.
but before she drove away, alikuja kwangu na kusema " asante sana" and kissed me on the cheek .I want to tell her to know that i dont us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Kwenye Mazishi

Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni " bestfriend" wangu , Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo '
Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi:-

I stare at him napenda awe wangu , but he doesn ' t notice me like that , and i know it, i want to tell him , i want him to know that i dont want us to be just friends , i love him but i ' m just to shy , and i dont know why .I wish he would tell me he loved me !

Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli , nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried !!
 
Ushimeni siku izi naww umeanza kua mtu wa Chai??



Anyway Alale mahali panapostahili..yaan kama alikua mwema na mtenda mema basi aende Peponi paradiso.

Kama mpaka anaaga Dunia alikua dhambini..no way out... Ufunuo wa yohana anasema "Mahali pao ni katika lile ziwe la moto na kiberiti".



Hii ikukumbushe wewe. Namm kua, kuna siku utakufa..swali kubwa ni je, utakufa ukiwa upande upi???.
 
Duuh hii story niliisomaga 2014 au 15
1st year

Nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu, niliyekuwa nikimuita " Bestfriend" nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu , lakini yeye hakuwa akitamani hilo na n ilikuwa nikilitambua hilo .
Baada ya leacture, alikuja kwangu na kuniomba notes za siku ya nyuma kwa sababu hakuweza kuingia darasani hiyo siku iliyopita .baada ya kumpa akasema " asante " na kushikana mikono na mimi .I wanted to tell her , i want her to know that i don ' t want us to be just friends , i love her but i ' m just to shy , and i don ' t know why.

2nd year

Simu yangu iliita , kupokea alikuwa yeye alikuwa akilia akinielezea jinsi gani boyfriend wake broke her heart , she asked me to come over because she didn ' t want to be alone , kwa kuwa ni rafiki yangu kipenzi ilinibidi kwenda kumfariji , as i sat next to her on the sofa , nilikuwa nikimuangalia Machoni nikitamani awe wangu .Baada ya masaa mawili baada ya kuangalia nae movie mbili tatu na kula nae chakula pamoja akarudi katika hali yake ya kawaida , hivyo akaamua kwenda kulala , before akaniangalia na kuniambia " asante " na kunipa tabasamu tamu, i want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

3rd year

Siku moja kabla ya Tamasha la muziki chuoni alikuja kwenye meza yangu leacture room na kuniambia " Boyfriend wangu amepata udhuru hivyo naomba unipe campan katika tamasha la muziki leo usiku " kwa kuwa tuliwekeana promice kwamba ikitokea kila mmoja wetu amekosa mtu wa ku - date nae basi tutaenda pamoja just as " bestfriends " .hivyo tukaenda .
katika tamasha baada ya kila kitu kuisha na muziki kufungwa , nilikuwa nimekaa nje ya ukumbi nikimuangalia jinsi alivyokuwa akicheka na rafiki zake , she saw me looking to her she smiled at me , i want her to be mine lakini yeye alikuwa hafikirii hilo kabisa na nilikuwa nikilitambua hilo , then she said to me " nimekuwa na muda mzuri na wewe asante sana" and she gave me a sweet smile. I want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Graduation Day[b/]

Siku , wiki kisha mwezi ukapita ilikuwa ni mahafali yetu tukimaliza masomo ya chuo , akiinuka kwenda kutunukiwa shahada yake ya uchumi nilikuwa nikimuangalia akiwa amependeza sana siku ile , i wanted her to be mine , but she didn ' t notice me like that , and i knew it.
kabla watu hawajatawanyika kwenda makwao , alikuja kwangu akiwa na vazi lake la mahafali , na kulia pale nilipomkumbatia akainua kichwa chake na kuniambia " you are my bestfriend asante sana " i want to tell her to know that i don ' t us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Miaka michache baadae

Nikiwa kanisani Yule Msichana akiwa anaolewa sasa, nilimuangalia akisema " ndiyo nakubali " and drive off to new life , kaolewa na mwanaume mwingine, i wanted her to be mine , but she didn ' t see me like that , and i knew it.
but before she drove away, alikuja kwangu na kusema " asante sana" and kissed me on the cheek .I want to tell her to know that i dont us to be just friends , i love her but i ' m just too shy , and i dont know why.

Kwenye Mazishi

Miaka ilipita i looked down katika jeneza lilokuwa na msichna ambaye alikuwa ni " bestfriend" wangu , Katika Service ya mazishi wakasoma diary ya Bestfriend ambayo alikuwa akiiandika enzi za maisha ya chuo '
Diary yake ilikuwa Ilikuwa ikisomeka hivi:-

I stare at him napenda awe wangu , but he doesn ' t notice me like that , and i know it, i want to tell him , i want him to know that i dont want us to be just friends , i love him but i ' m just to shy , and i dont know why .I wish he would tell me he loved me !

Nilipiga magoti huku nikilia nikijisemea moyoni i wish ningemwambia tu ukweli , nimeshachelewa sipo nae tena katangulia mbele za haki i cried !!
 
Too emotional 😞....

1. Uoga wako ndio umasikini wako...

2. Umechelewa jamvini, karamu imekwishaliwa...

3. Ngoja ngoja huumiza matumbo...

4. Kweli itakuweka huru...

5. Umeshachelewa, shamba limeshapata mlimaji...

6. Mvumilivu hula mbivu/mbovu...
 
Hii story nimesoma miaka mitatu ilopita. Btw inahuzunisha kimtindo
 
pole,ulikuwa gizani lakini wewe uliona uko kwenye mwanga,na yeye aluona yuko kwenye mwanga kumbe yuko gizani,basi malizia tu kwa kumwambia buriani rafiki
 
Ushimeni siku izi naww umeanza kua mtu wa Chai??



Anyway Alale mahali panapostahili..yaan kama alikua mwema na mtenda mema basi aende Peponi paradiso.

Kama mpaka anaaga Dunia alikua dhambini..no way out... Ufunuo wa yohana anasema "Mahali pao ni katika lile ziwe la moto na kiberiti".



Hii ikukumbushe wewe. Namm kua, kuna siku utakufa..swali kubwa ni je, utakufa ukiwa upande upi???.
Hapana mkuu, skuizi nakula ugali asubuhi badala ya chai...
 
Too emotional [emoji20]....

1. Uoga wako ndio umasikini wako...

2. Umechelewa jamvini, karamu imekwishaliwa...

3. Ngoja ngoja huumiza matumbo...

4. Kweli itakuweka huru...

5. Umeshachelewa, shamba limeshapata mlimaji...

6. Mvumilivu hula mbivu/mbovu...
Ahsante kwa ushauri mzuri...
 
pole,ulikuwa gizani lakini wewe uliona uko kwenye mwanga,na yeye aluona yuko kwenye mwanga kumbe yuko gizani,basi malizia tu kwa kumwambia buriani rafiki
Apumzike kwa amani...
 
Ushimen, jifariji kwa matusi ya baba askofu.

Nataka kuwaambia nyinyi maaskofu, iwapo hamutamuheshimu mke wanngu nitawafurusha katika kanisa langu. sitaki kujua wewe ni nani'',

Mchungaji maarufu nchini Kenya Ng'ang'a wa kanisa la Neno Evangelist Ministry amegonga vichwa vya habari kwa mara nyengine tena baada ya kutishia kufunga matawi ya kanisa lake la Neno Evangelism akidai kwamba maaskofu hawamuheshimu mke wake.


'Wakati huu nitawaonyesha uwezo wangu... mwanamke yeyote ambaye hatamuheshimu mke wangu ....mulinipata hapa na wake zenu, mumejitajirisha kupitia juhudi zangu'' .


''Wajinga nyie...wajeuri...nilikuwa nikihubiri katika mkokoteni , naapa mbele ya Mungu nitawaonyesha Ng'ang'a ni nani....''. Mchungaji Ng’ang’a.
 
Ushimen, jifariji kwa matusi ya baba askofu.

Nataka kuwaambia nyinyi maaskofu, iwapo hamutamuheshimu mke wanngu nitawafurusha katika kanisa langu. sitaki kujua wewe ni nani'',

Mchungaji maarufu nchini Kenya Ng'ang'a wa kanisa la Neno Evangelist Ministry amegonga vichwa vya habari kwa mara nyengine tena baada ya kutishia kufunga matawi ya kanisa lake la Neno Evangelism akidai kwamba maaskofu hawamuheshimu mke wake.


'Wakati huu nitawaonyesha uwezo wangu... mwanamke yeyote ambaye hatamuheshimu mke wangu ....mulinipata hapa na wake zenu, mumejitajirisha kupitia juhudi zangu'' .


''Wajinga nyie...wajeuri...nilikuwa nikihubiri katika mkokoteni , naapa mbele ya Mungu nitawaonyesha Ng'ang'a ni nani....''. Mchungaji Ng’ang’a.
Huyu ndie baba askofu alietia fora 2019, na ninahakika angepimwa wangemkuta yupo bwax....the[emoji23]
 
Back
Top Bottom