Nimeshachelewa, sipo nae tena na ametangulia mbele za haki..!!

Nimeshachelewa, sipo nae tena na ametangulia mbele za haki..!!

Aliyeandika hicho kimombo kimetaka niumiza kichwa alivyokoroga sehemu zingine.. kiswahili kingemfaa tu kwa zaidi.. shaaaa.. nae alimaliza chuo na kuandika hayo.. hivi vyuo vyetu jamani.. khaaaaa!!!!!
 
Aliyeandika hicho kimombo kimetaka niumiza kichwa alivyokoroga sehemu zingine.. kiswahili kingemfaa tu kwa zaidi.. shaaaa.. nae alimaliza chuo na kuandika hayo.. hivi vyuo vyetu jamani.. khaaaaa!!!!!
Kidumu chama chetu mkuu....
 
hii movie inatisha

Inaitwaje ??
Tafakari....
tapatalk_1559635007623.jpeg
 
Hii chai na hili jua hapana kwakwel,na hii chai mama doreen alienda kwa mama ntilie mwenzake akaonja chai yake akona ni tamu ikabid aulizie viungo alivotumia baada ya kuambiwa hvo akachukua baadhi ya viungo alivoona vinamfaa jamn chai n tamu ila jua la dar nalo so poa
 
Back
Top Bottom