Wakuu leo nilipokua narejea home nilikutana na paka mwekundu akiwa na hirizi shingoni nilistuka na kutaka kutoka nduki lakini cha ajabu paka yule alinisemesha maneno yafuatayo"jirani unatoka kazini jiraniii leo usiku tunakuja kukuroga na kukugeuza kuku"
Nimeogopa sana yaani leo usiku nageuzwa kuku?
Wakuu leo nilipokua narejea home nilikutana na paka mwekundu akiwa na hirizi shingoni nilistuka na kutaka kutoka nduki lakini cha ajabu paka yule alinisemesha maneno yafuatayo"jirani unatoka kazini jiraniii leo usiku tunakuja kukuroga na kukugeuza kuku"
Nimeogopa sana yaani leo usiku nageuzwa kuku?
SAA hizi??April fool's
hajamaliza wapo kwenye party yao wajinga woteSAA hizi??