Eusebius Erneus
Member
- Jan 16, 2014
- 21
- 10
- Thread starter
- #21
NaisAu bas tuseme anataka muachane
NaisAu bas tuseme anataka muachane
Noma thana[emoji359]Tafuta na wewe mnyonge wako mchapie itarudisha heshima zaid
Wewe si ommy dimpoz huwezi kazi? sasa wanaume wamemshughurikia fasta fasta, km vp lea mimba mpaka aze na ulee mtoto teh teh teh....kwanza nipende kuwashukuru members wa JF kwa ushauri mzuri mnaotoa kwa wale wanao omba ushauri Mimi ni kijana nilie ingia katika mahusiano na msichana mmoja ambae katika mahusian yetu hatukuwai kukutana kimwili tangu tuanzishe mahusiano lakini lakushangaza mwenzangu alinambia anamimba na anataka akatoe ili aendelee na shule na bado anadai kuwa ananipenda sasa sijui ananipenda kweli au ndo anataka kuniua [emoji180]
~km ni mm mkuu na muacha tena kabisa kwa sababu zifuatazo.Anko nimeeka hii story cuz ts true story in.ma life u know huyo gush alikua dem angu lkn ckuwahi mgusa ngozi ta sku moja ila nlishangaa ananambia shez preg na nkaona kweli n after all akatoa hiyo mimba but anasema still ananipenda asa ndo nauliza kama ni wewe unachkua action gani[emoji174]
Hata kama hauko perfect ndo ushaangukia pua.... Hakuna ushauri mwingine hapa zaid ya kuacha kuendelea kuwa bwegeYap cuz am nah perfect
nimejikuta nacheka tu.We msamehe ila mwambie asitoe mimba mwendelee na mahusiano umsaidie kulea mkuu
Utakuwa lini chalii au mimba imeingia kwa sms mnazotumiana. Dah alafu demu anadharau sana huyo yaani anakujulisha kabisa kuwa kuna kidume kinapiga mpaka kimechana wavu.kwanza nipende kuwashukuru members wa JF kwa ushauri mzuri mnaotoa kwa wale wanao omba ushauri Mimi ni kijana nilie ingia katika mahusiano na msichana mmoja ambae katika mahusian yetu hatukuwai kukutana kimwili tangu tuanzishe mahusiano lakini lakushangaza mwenzangu alinambia anamimba na anataka akatoe ili aendelee na shule na bado anadai kuwa ananipenda sasa sijui ananipenda kweli au ndo anataka kuniua [emoji180]
Its lame kutumia ako kamsemo kujijustify.. utaendelea kuchapiwa tu.. eti bse kuna imperfection[emoji12] [emoji12] [emoji12]Yap cuz am nah perfect
Wewe mwenyewe ni majanga matupu vitu vingine kabla hata ya kuandika hebu jifanyie tathmini kwa kufanya maamuzi wewe kama wewe je kwa mtazamo wa jamii n sawa au si sawa?Tatzo la wana jf mada.mnapenda kzichklia kma siasa mnatus kejel hili sio bunge kwamba tnajadil mswada kama huna point ya msing kimya ni bora kuliko kuingea mambo ya kijinga