Weee axha izo kujikaza kupo lkn na kuumia kupo vilevile imagine pisi kali yangu izingue na ndo naifikiria all the time unafikiri what can happenWanaume hatulii lii ovyo, kaza
Hahahhahahaa aisee acha kabisa msaliti hana alamaPoleeee sana,
Napenda niione picha ya huyo msaliti.
Asije kuwa ndiye huyu niliyenaye kipind hichi.Lengo langu nimuwahi
Asante sanaPoleeeee
Ahahaha mpaka hapo ushaimarika kimahusiano,mwanasaikolojia wa toronto USA anasemea usaliti ktk mahusiano huimalisha upendo ndan ya wapendanao,.Hahahhahahaa aisee acha kabisa msaliti hana alama
Sana yan nishaelewa niweje next time nikiwa na mpenzi mwingineAhahaha mpaka hapo ushaimarika kimahusiano,mwanasaikolojia wa toronto USA anasemea usaliti ktk mahusiano huimalisha upendo ndan ya wapendanao,.
Karucee, naomba umpe nafasi ndani ya moyo wako huyo kijana ili aweze kusahau huo mkasa uliompata.Pole Dear.
This too shall pass.
Time heals everything.
Sina nafasi ndugu yangu mie.Karucee, naomba umpe nafasi ndani ya moyo wako huyo kijana ili aweze kusahau huo mkasa uliompata.
Oraaa gudi mwanangu umeongea point big up sanaUkweli ni kuwa Wanaume tumekuwa tukilalamika sana kwenye mapenzi siku hizi... Nafikiri tumeshindwa kujua ya kuzingatia na tumeanza ku deal na mambo yasiyotuhusu.
Mkuu pambana tafuta hela, kula maisha, Jali wazazi wako, Papuchi is everywhere.
Nmekutana nayo but Mungu ni mwema karibia nazoea kuishi bila yeyeExpectations hurt much asee....
Tulia kama huna cha ku comment sitak shoboSasa tufanyeje sisi
Asante sana kwa ushauri nimesha achana nae lknPole mdogo wangu! Wasikudanganye haiumi ni waongo...inauma mnoooo tena kuna muda unakosa ht usingizi ila km kaka yk nakwambia itafika muda utasahau na hutaamini aisee! Time heals na si uongo. Utamsahau na hutaamini achana nae km roho imeshamkataa!