Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,124
- 173,980
Siku ingine hakikisha unapomtaka mwanamke uwe nae kwa malengo hakikisha ni yule aliyekupenda wewe zaidi ya unavyompenda!C unajua tena mkuu tamaa ya macho na wala alikuwa kimbaumbau tu lkn mwisho wa siku amekuwa mzuri kila mtu anamtaka