Usikae mbali na vitu kama pc hata kama unaweka kwenye sehemu za kuwekea mizigo ila pendelea kubaki na begi la pc yako kamwe.
"kusahau begi langu lenye computer na vitu vingine"
Narudi nyuma kidogo, ni kuwa baada ya kujua nimesahau begi nilipiga zile namba za simu za kwenye tiketi kama nne ndipo nilipompata muhusika kwani wengi walisema wameshaacha kazi kampuni ile.
"Muhusika alipokuja mida kama ya saa kumi tukaenda kwenye bus na kukuta dereva kalala kwenye bus na akajibu kupitia dirishani kuwa hajaona hilo begi"
Huenda huyu mhusika alifanya mchongo coz pc kama hizo si chini ya 300 000
Sent from my SM-A125F using
JamiiForums mobile app