Black Label
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 392
- 464
Naunga mkonoSio rahisi mtu kuchukua begi ambalo hamjui muhusika wake ni nani!
Begi lako itakua lilichukuliwa mwishoni kabisa mwa safari baada ya abiria wote kushuka na begi lako kubaki peke yake,uchunguzi wa Polisi uanzie hapo.