- Thread starter
- #81
Nilikuwa na mawazo sana mkuuila mkuu basi ikua na haraka sana. kweli ushuke bila beg kweli ?
Nilikuwa na mawazo sana mkuuila mkuu basi ikua na haraka sana. kweli ushuke bila beg kweli ?
Mkuu ili linawezekana kweli? Msaada tafadhaliJuzi natoka mwanza naelekea misungwi kwa baba mdogo mawe matatu nilikuwa na mzigo mkubwa pamoja kibegi kidogo chenye laptop...niliisahau laptop yangu nikaenda kwa mganga mmoja yupo ngudu...begi nililikuta kwa bamdogo mawe matatu wakaniambia amelileta muhudumu wa bar nilipokuwa...
mmmhJuzi natoka mwanza naelekea misungwi kwa baba mdogo mawe matatu nilikuwa na mzigo mkubwa pamoja kibegi kidogo chenye laptop...niliisahau laptop yangu nikaenda kwa mganga mmoja yupo ngudu...begi nililikuta kwa bamdogo mawe matatu wakaniambia amelileta muhudumu wa bar nilipokuwa...
Muhusika ni mpuuzi inamaana ulimpompigia kuwa umesahau begi lako alikuwa hajui gari imeondoka na dereva gani na konda gani .ili waangalie mzigo wako wauhifadhi.??? Kampuni nzima unapaswa kuishitaki kwa kuweka namba ambazo hazipatikan. Hii inakumbusha nilishawai achwa na gari na kupoteza mizigo yangu yote na konda alikuwa anajua kabisa gari limeniacha na mzigo wangu wanaujua ila sikuwa na la kufanya mana ilikuwa kibaharia zaidi ni nchi nyingine.Habari wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada, Jumapili iliyopita ya tarehe 05/06/2022 mida kama ya saa 1 usiku kuelekea saa mbili nikiwa natoka Dar kwenda Morogoro ndani ya bus mali ya kampuni ya Frester nikaamua kushukia Chalinze na kusahau begi langu lenye computer na vitu vingine. Nikatafuta usafiri mwingine kwenda Moro ili kufatilia begi langu lakini mpaka nafika Moro nikakuta bus limefika muda mrefu sana na abiria wote wameshashuka na bus limepaki kimya kabisa.
Ikabidi niende ofisini kuulizia maana ilikiwa usiku tayari mida kama ya saa saba. Ofisini sikukuta mtu zaidi ya abiria waliolala wakisubiri kusafiri kesho yake. Narudi nyuma kidogo, ni kuwa baada ya kujua nimesahau begi nilipiga zile namba za simu za kwenye tiketi kama nne ndipo nilipompata muhusika kwani wengi walisema wameshaacha kazi kampuni ile.
Muhusika alipokuja mida kama ya saa kumi tukaenda kwenye bus na kukuta dereva kalala kwenye bus na akajibu kupitia dirishani kuwa hajaona hilo begi. Nikapata wazo la kwenda Polis, nikaja na Polis wa kike na dereva akafungua mlango tukaingia ndani kukagua, kweli hakukuwa na begi ila mkoba tu wa kike uliosahaulika pamoja na demu wa dereva kumbe walilala humo.
Hisia zangu zinaniambia kuwa dereva, demu wake na kondakta ndiyo wamechukua mbegi langu. Naombeni msaada wa kipi cha kufanya kupata begi langu kwani ni muhimu sana na niko tayari kwa njia yoyote ile na kulipa gharama.
Ikumbukwe pia kuwa mzigo wa ndani ni dhamana yako/yangu.
Yaani wao wanakomalia kuwa mzigo wa ndani hawana dhamana nao. Pia ile route ya Dar Moro haikuwa rasmi, gari ni kama ilikuwa inatoka Dar kwenye matengenezo ndiyo wakapitia abiria pale nje ya stendi zinanako paki zile gari za IT ile mida ya usikuMuhusika ni mpuuzi inamaana ulimpompigia kuwa umesahau begi lako alikuwa hajui gari imeondoka na dereva gani na konda gani .ili waangalie mzigo wako wauhifadhi.??? Kampuni nzima unapaswa kuishitaki kwa kuweka namba ambazo hazipatikan. Hii inakumbusha nilishawai achwa na gari na kupoteza mizigo yangu yote na konda alikuwa anajua kabisa gari limeniacha na mzigo wangu wanaujua ila sikuwa na la kufanya mana ilikuwa kibaharia zaidi ni nchi nyingine.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Ni kweli, ila Dereva alilala humo humo ndani ya gari na mwanamke. Kondakta ndiye alilala nje hotelini/lodgeBag ya laptop haifai hata kuweka kwenye carrier maana mtu anaweza kupita nayo hata ukisinzia.
unaweza kukuta hata mtu anaefanya usafi amepita nalo.
Muhusika ni mpuuzi inamaana ulimpompigia kuwa umesahau begi lako alikuwa hajui gari imeondoka na dereva gani na konda gani .ili waangalie mzigo wako wauhifadhi.??? Kampuni nzima unapaswa kuishitaki kwa kuweka namba ambazo hazipatikan. Hii inakumbusha nilishawai achwa na gari na kupoteza mizigo yangu yote na konda alikuwa anajua kabisa gari limeniacha na mzigo wangu wanaujua ila sikuwa na la kufanya mana ilikuwa kibaharia zaidi ni nchi nyingine.
Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Unatakiwa umtafute kwa akili sana. Hao wafanyakazi wasijue issue yoyote. Na zaidi itakuwa vizuri uulizie kwa ma-alwatan wa stendi kwani wana info zote. Ukienda ofisi ya kukatia tiketi hawatakuambia ni nani mmiliki.Mkuu nimemtafuta mpaka mmiliki wa Bus hizo lakini mpaka leo bila bila. Ni kama hawataki mmiliki kujui hii ishu. Mtu wa mwisho ambaye ni wakala yuko Dar akasema mmiliki ni mgonjwa hivyo hawezi ongea na simu, nikamwomba anitumid namba nijaribu bahati yangu lakini akakataa na kuishia kusema ni uzembe wangu
Naamini ulimaanisha GPS maana kwa GPRS ni mtandao upo slow uliokuwa ukituma enzi za kina nokia 3310GPRS itakusaidia.
🤣Barabarani wanasema wameona maruweruwe,,,,,,,,,kumbe magundu waliyoyabeba huko
Mara nyingi hawa makondacta wanafichaga vitu ukishamuuliza tu.Kwanini uliposhuka tu chalinze na kugundua umesahau begi hukufanya taratibu ya kuwasiliana na wakala wa frester hapo chalinze akupe mawasiliano ya hilo basi lao lililoelekea Morogoro wakuangalizie begi lako? Pole huna wa kumlaumu ila ww mwenyewe
Sawa mkuu, asante sanaUnatakiwa umtafute kwa akili sana. Hao wafanyakazi wasijue issue yoyote. Na zaidi itakuwa vizuri uulizie kwa ma-alwatan wa stendi kwani wana info zote. Ukienda ofisi ya kukatia tiketi hawatakuambia ni nani mmiliki.
Nakushauri tu next timeHabari wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada, Jumapili iliyopita ya tarehe 05/06/2022 mida kama ya saa 1 usiku kuelekea saa mbili nikiwa natoka Dar kwenda Morogoro ndani ya bus mali ya kampuni ya Frester nikaamua kushukia Chalinze na kusahau begi langu lenye computer na vitu vingine. Nikatafuta usafiri mwingine kwenda Moro ili kufatilia begi langu lakini mpaka nafika Moro nikakuta bus limefika muda mrefu sana na abiria wote wameshashuka na bus limepaki kimya kabisa.
Ikabidi niende ofisini kuulizia maana ilikiwa usiku tayari mida kama ya saa saba. Ofisini sikukuta mtu zaidi ya abiria waliolala wakisubiri kusafiri kesho yake. Narudi nyuma kidogo, ni kuwa baada ya kujua nimesahau begi nilipiga zile namba za simu za kwenye tiketi kama nne ndipo nilipompata muhusika kwani wengi walisema wameshaacha kazi kampuni ile.
Muhusika alipokuja mida kama ya saa kumi tukaenda kwenye bus na kukuta dereva kalala kwenye bus na akajibu kupitia dirishani kuwa hajaona hilo begi. Nikapata wazo la kwenda Polis, nikaja na Polis wa kike na dereva akafungua mlango tukaingia ndani kukagua, kweli hakukuwa na begi ila mkoba tu wa kike uliosahaulika pamoja na demu wa dereva kumbe walilala humo.
Hisia zangu zinaniambia kuwa dereva, demu wake na kondakta ndiyo wamechukua mbegi langu. Naombeni msaada wa kipi cha kufanya kupata begi langu kwani ni muhimu sana na niko tayari kwa njia yoyote ile na kulipa gharama.
Ikumbukwe pia kuwa mzigo wa ndani ni dhamana yako/yangu.
Usikae mbali na vitu kama pc hata kama unaweka kwenye sehemu za kuwekea mizigo ila pendelea kubaki na begi la pc yako kamwe.Habari wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada, Jumapili iliyopita ya tarehe 05/06/2022 mida kama ya saa 1 usiku kuelekea saa mbili nikiwa natoka Dar kwenda Morogoro ndani ya bus mali ya kampuni ya Frester nikaamua kushukia Chalinze na kusahau begi langu lenye computer na vitu vingine. Nikatafuta usafiri mwingine kwenda Moro ili kufatilia begi langu lakini mpaka nafika Moro nikakuta bus limefika muda mrefu sana na abiria wote wameshashuka na bus limepaki kimya kabisa.
Ikabidi niende ofisini kuulizia maana ilikiwa usiku tayari mida kama ya saa saba. Ofisini sikukuta mtu zaidi ya abiria waliolala wakisubiri kusafiri kesho yake. Narudi nyuma kidogo, ni kuwa baada ya kujua nimesahau begi nilipiga zile namba za simu za kwenye tiketi kama nne ndipo nilipompata muhusika kwani wengi walisema wameshaacha kazi kampuni ile.
Muhusika alipokuja mida kama ya saa kumi tukaenda kwenye bus na kukuta dereva kalala kwenye bus na akajibu kupitia dirishani kuwa hajaona hilo begi. Nikapata wazo la kwenda Polis, nikaja na Polis wa kike na dereva akafungua mlango tukaingia ndani kukagua, kweli hakukuwa na begi ila mkoba tu wa kike uliosahaulika pamoja na demu wa dereva kumbe walilala humo.
Hisia zangu zinaniambia kuwa dereva, demu wake na kondakta ndiyo wamechukua mbegi langu. Naombeni msaada wa kipi cha kufanya kupata begi langu kwani ni muhimu sana na niko tayari kwa njia yoyote ile na kulipa gharama.
Ikumbukwe pia kuwa mzigo wa ndani ni dhamana yako/yangu.
Sure,pia siku hizi kuna cloud service nyingi tena nyingine ni free kwa kiasi flani cha data,na unaweza kuziaccess data zako ukiwa papote,hizi ni njia salama za kuhifadhi data zako hasa ambazo ni za muhimu.Nakushauri tu next time
Uwe na laptop kama hivyo lakini pia pale nyumbani uwe na Desktop PC kwa ajili ya kufanya user data backup yaani ni muhimu sana hii. Wala usiseme utaweka kwenye External HDD. laa
Mimi natumia njia hiyo na Alhamdulillah sijawahi kupoteza PC
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app