Kwani mkuu ulikuwa na mzigo mwingine zaidi ya hilo begi lenye computer?kampuni ya Frester nikaamua kushukia Chalinze na kusahau begi langu lenye computer na vitu vingine
Mzigo wa ndani yagari sio jukumu la wafanyakazi wa bus kwenyesafari husika kulinda ni jukumu lako abiria mzigo wakwenye buti ndo jukumu langu kondaUna tiketi ya bus hilo
Ova
Kabisa mkuu, maana wakati wa kupanda mimi nilikuwa abiria kama wa pili kupanda. Ndiyo maana siamini kuwa abiria ndiye kaiba hilo begiSio rahisi mtu kuchukua begi ambalo hamjui muhusika wake ni nani!
Begi lako itakua lilichukuliwa mwishoni kabisa mwa safari baada ya abiria wote kushuka na begi lako kubaki peke yake,uchunguzi wa Polisi uanzie hapo.
Mkuu nilifanya hivyo ila kila namba niliyopiga muhusika alisema ameshaacha kazi kwenye hiyo kampuni. Mwisho nilimpata muhusika akasema yuko mbali kidogo.Kwanini uliposhuka tu chalinze na kugundua umesahau begi hukufanya taratibu ya kuwasiliana na wakala wa frester hapo chalinze akupe mawasiliano ya hilo basi lao lililoelekea Morogoro wakuangalizie begi lako? Pole huna wa kumlaumu ila ww mwenyewe
Kweli mkuu, lakini nilipiga simu kwa namba karibu zote bila mafanikio. Maana nililuwa na tiketi na kwenye tiketi kuna namba zaoangepiga simu mapema ingesaidia sana...!! ila kwenda na abiria washashuka hapo ni ngumu mno na alielibeba amedhamiria kuliiba