Sangomwile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 3,195
- 1,021
Nimekuja kujisalimisha,niliingia majukwaa mengine ya JF bila ya kupitia hapa.Hakuna sababu ya kuniitia mwizi,nipo mlangoni hodiiii.
Nimekuja kujisalimisha,niliingia majukwaa mengine ya JF bila ya kupitia hapa.Hakuna sababu ya kuniitia mwizi,nipo mlangoni hodiiii.
Karibu% ru she or he?
Karibu sana.
Karibu sana.
mkuu unaelewa maana ya kuruka ukuta?
Nami nilikuwa nakuja hukohuko!
Atupe jibu.
Akikujibu unistue tafazali.
Nami nilikuwa nakuja hukohuko!
Atupe jibu.
mkuu unaelewa maana ya kuruka ukuta?
Nami nilikuwa nakuja hukohuko!
Atupe jibu.
Karibu sana.
Nilivyoona tu heading nikaja mbio nikidhani ndo yaleyale ila kakosea jukwaa, atupe jibu kama anajua maana ya kauli yake!