karibu kidogo
mi nadhani ubadilike uwe 'wa kuandika'
hutabaniwa
Marhaba!
Mbona kama unanihonga?
Niliwamisi sana hapa jamvini, nilipigwa bann ya siku 30 tangu 19/12/2011-19/01/2012. Nawashukuru sana wale wote walionimic pia ng ninawatakia heri ya krismas na mwaka mpya. Habari zenyuuuuu hap to b back again.
Shkamoo. .
da Lizzy,mambo,habari za asubuhi?